Skip to main content

Devotha Mdachi :Azindua Tamasha Chuo cha Utalii

Imeelezawa kuwa nchini  Utalii umekuwa ukikua mwaka hadi 
mwaka na kuvutia zaidi ya watalii milioni moja laki mbili(1,200,000)
na kuchangia asilimia 17.5 ya pato la uchumi wa Taifa kwa mwaka,
hivyo kushika nafasi ya pili baada ya shughuli za kilimo ambapo
huchangia asilimia zaidi ya asilimia 25.



Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji bodi ya utalii ya 
Taifa Devotha Mdachi katika uzindizi wa tamasha la Taaluma 
(Career Day) lililo andaliwa na Chuo Cha Utalii Dar es Salaam . 
Mkurugenzi Mtendaji bodi ya utalii ya 
Taifa Devotha Mdachi katika uzindizi wa tamasha hilo.


Amesema sekta ya Utalii imechangia kuwepo na ajira takribani
540,000 huku idadi ya wataliiinaendelea kuongezeka na matarajio
ya watalii kutoka katika sehemu mbali mbali zinazotoa huduma
zitatakiwa kukidhi viwango vya kimataifa.

"KUkidhi viwango vya kimataifa kunafanya sekta hii kuwa na
uhitaji wa watumishi wenye elimu,weledi na ujuzi stahiki,
na kiuchumi,uchumi wa taifa letu umeendelea kukua kwa
wastani wa asilimia 7 kwa miaka mitano mfululizo,"amesema
Devotha.



Devotha amesema utalii wa dunia pia umeendelea kukua mfululizo
kwa kipindi cha miaks sita na hivyo kuchangia asilimia 10.2
ya uchumi wa dunia kwa dola  za kimarekani trioni 7.6 na hivyo
kufanya sekta hiyo  kuchachangia ajira milioni mbili
tisini na  mbili(Milioni 292) kwa uwiano wa 1:10 za kazi
duniani ambapo sekta  hiyo itaendelea kukua kwa asilimia
3.9 kwa mwaka kwa kipindi cha miaka 10 ijayo(World Travel
and TourismCouncil,March 2017).



Kaimu  Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Cha Taifa
Cha Utalii Dr .Shogo Mlonzi Sedoyeka akizungumza mbele ya wanahabari
mara baada ya kumalizika tamasha hilo.



Kwa upande wake Kaimu  Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Cha Taifa
Cha Utalii Dr Shogo Mlonzi Sedoyeka amesema kuwa Chuo hicho kimekua
kikichukua wanafunzi mikoa tofauti ambapo wanafunzi wanaotoka
nje ya jiji la Dar es Salaam wamekuwa wakizingatiwa zaidi
kwa kupewa  hostel.


"Wanafunzi wanaotoka mikoa mbali mbali nje ya Jiji la Dar
wao tumekuwa tukiwapa nafasi zaidi  katika masomo ya
chuoni hapa ambapo wamekuwa wakipatiwa mafunzo ya Ukarimu,
na sekta za utalii,"anasema Dr Sedoyeka.



Dr Sedoyeka anaongeza kusema kuwa chuo kimekuwa kikitoa pia
mafunzo ya muda mfupi na mafunzo ya uitaji maalum, kwa kutumia
mitaala inayofuata mfumo wa kujenga ujuzi.


Anasema chuo hicho kina ithibati kutoka Baraza la Taifa
la Elimu ya Ufundi NACTE) ya kutoa mafunzo ya ukarimu ,
usafilishaji watalii na uongozaji watalii katika ngazi
ya Stashahada na Astashahada.


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...