Skip to main content

Devotha Mdachi :Azindua Tamasha Chuo cha Utalii

Imeelezawa kuwa nchini  Utalii umekuwa ukikua mwaka hadi 
mwaka na kuvutia zaidi ya watalii milioni moja laki mbili(1,200,000)
na kuchangia asilimia 17.5 ya pato la uchumi wa Taifa kwa mwaka,
hivyo kushika nafasi ya pili baada ya shughuli za kilimo ambapo
huchangia asilimia zaidi ya asilimia 25.



Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji bodi ya utalii ya 
Taifa Devotha Mdachi katika uzindizi wa tamasha la Taaluma 
(Career Day) lililo andaliwa na Chuo Cha Utalii Dar es Salaam . 
Mkurugenzi Mtendaji bodi ya utalii ya 
Taifa Devotha Mdachi katika uzindizi wa tamasha hilo.


Amesema sekta ya Utalii imechangia kuwepo na ajira takribani
540,000 huku idadi ya wataliiinaendelea kuongezeka na matarajio
ya watalii kutoka katika sehemu mbali mbali zinazotoa huduma
zitatakiwa kukidhi viwango vya kimataifa.

"KUkidhi viwango vya kimataifa kunafanya sekta hii kuwa na
uhitaji wa watumishi wenye elimu,weledi na ujuzi stahiki,
na kiuchumi,uchumi wa taifa letu umeendelea kukua kwa
wastani wa asilimia 7 kwa miaka mitano mfululizo,"amesema
Devotha.



Devotha amesema utalii wa dunia pia umeendelea kukua mfululizo
kwa kipindi cha miaks sita na hivyo kuchangia asilimia 10.2
ya uchumi wa dunia kwa dola  za kimarekani trioni 7.6 na hivyo
kufanya sekta hiyo  kuchachangia ajira milioni mbili
tisini na  mbili(Milioni 292) kwa uwiano wa 1:10 za kazi
duniani ambapo sekta  hiyo itaendelea kukua kwa asilimia
3.9 kwa mwaka kwa kipindi cha miaka 10 ijayo(World Travel
and TourismCouncil,March 2017).



Kaimu  Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Cha Taifa
Cha Utalii Dr .Shogo Mlonzi Sedoyeka akizungumza mbele ya wanahabari
mara baada ya kumalizika tamasha hilo.



Kwa upande wake Kaimu  Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Cha Taifa
Cha Utalii Dr Shogo Mlonzi Sedoyeka amesema kuwa Chuo hicho kimekua
kikichukua wanafunzi mikoa tofauti ambapo wanafunzi wanaotoka
nje ya jiji la Dar es Salaam wamekuwa wakizingatiwa zaidi
kwa kupewa  hostel.


"Wanafunzi wanaotoka mikoa mbali mbali nje ya Jiji la Dar
wao tumekuwa tukiwapa nafasi zaidi  katika masomo ya
chuoni hapa ambapo wamekuwa wakipatiwa mafunzo ya Ukarimu,
na sekta za utalii,"anasema Dr Sedoyeka.



Dr Sedoyeka anaongeza kusema kuwa chuo kimekuwa kikitoa pia
mafunzo ya muda mfupi na mafunzo ya uitaji maalum, kwa kutumia
mitaala inayofuata mfumo wa kujenga ujuzi.


Anasema chuo hicho kina ithibati kutoka Baraza la Taifa
la Elimu ya Ufundi NACTE) ya kutoa mafunzo ya ukarimu ,
usafilishaji watalii na uongozaji watalii katika ngazi
ya Stashahada na Astashahada.


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.