Skip to main content

Rais Dkt. John Pombe Magufuli fungua barabara ya Lami ya Iringa – Migoli- Fufu



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kutowasikiliza Wabunge wanaosema serikali inadaiwa madeni ilhali wao wanapita katika barabara hizo kuelekea bungeni.
Rais Magufuli ameyasema hayo mjini Iringa alipokuwa akifungua barabara ya Lami ya Iringa – Migoli- Fufu inayounganisha mikoa ya Iringa na Dodoma.
 
Rais Magufuli amesema kuwa hata katika ukopaji unaweza ukakopa leo na ukalipa baada ya miaka 40 au 50 huku akieleza kuwa madeni anayokopa yeye huenda yakalipwa yeye hayupo duniani.

“Kwahiyo mimi nataka niwaeleze ukweli ndugu zangu, lile deni walilokopa wakoloni waingereza kwa kujenga ile barabara ya Morogoro Road kule Dar es salaam deni lake limemalizika mwaka juzi amelimaliza Kikwete, deni lilikopwa kwaajili ya uhuru kile kipande na si barabara yote kwahiyo unaweza ukakopa leo ukalipa baada ya miaka labda 40 hata miaka 50 madeni tunayolipa sasa hivi yanayolipwa yamekopwa katika awamu hizo zote,“ amesema Rais Magufuli.
“Inawezekana awamu ya madeni ninayo kopa yatalipwa wala mimi sipo duniani na ndio maana huwa mnawasikia wengine wanazungumza serikali inadaiwa madeni na huwa wanasahau wengine wanatoka huku Iringa wanaitumia hiyo hiyo barabara kwenda Bungeni, wanaitumia barabara hiyo hiyo kwa magari yao waliyoyapata waliyokopeshwa lakini wakiisha fika kule wanasema serikali inadaiwa madeni wanasahau kuwa hayo madeni ni pamoja na barabara waliyoipitia wakati wanaenda Bungeni.“

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.