Skip to main content

CIA Mike Pompeo, alifanya ziara ya kisiri nchini Korea Kaskazini

Ziara ya bwana Pompeo's (left) nchini Korea Kaskazini ililenga kuandaa mkutano kati ya Trump na KimHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionZiara ya bwana Pompeo's (left) nchini Korea Kaskazini ililenga kuandaa mkutano kati ya Trump na Kim
Mkurugenzi wa shirika la upelelezi nchini Marekani Mike Pompeo alisafiri hadi mjini Pyongyang kwa mkutano wa kisiri na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un , kulingana na vyombo vya habari vya Marekani.
Mkutano huo ulioandaliwa kuandaa mkutano mwengine kati ya rais Donald Trump na Kim Jong Un ulifanyika wikendi ya sikukuu ya Pasaka , kulingana na maafisa amabo hawakutajwa.
Bwana Trump alikuwa amekiri kufanyika kwa mazungumzo ya hadhi ya juu na Pyongayng.
Lakini mkutano huo wa siri ambao haukutarajiwa ndio uliokuwa mkutano wa hadhi ya juu kati ya Marekani na Korea Kaskazini tangu 2000.
''Tumekuwa na mazungumzo ya moja kwa moja , katika ngazi za juu'', Bwana Trump alisema mjini Florida ambapo alikuwa anakutana na waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe.
Rais huyo aliongezea kuwa aliunga mkono mazungumzo kati ya Korea kusini na kaskazini kuzungumzia makubaliano ya amani ya kumaliza vita vya Korea vya 1950-1953
Korea Kusini imetoa ishara kwamba itaangazia suluhu rasmi ya kumaliza mgogoro huo. Rais wa Korea Kusini Moon Jae in na bwana Kim wanatarajiwa kukutana mwisho wa mwezi Aprili.

Je tunajua nini kuhusu mkutano huo wa kisiri?

Habari kwamba mteule wa rais Donald Trump katika wizara ya maswala ya kigeni alisafiri kueleka Korea Kaskazini kwa mkutano huo na bwana Kim ziliripotiwa mara kwanza na gazeti la The Washington Post.
Ni machache yanayojulikana kuhusu mazungumzo hayo mbali na kwamba yalilenga kuwa jukwaa la kuandaa mkutano mwengine wa moja kwa moja kati ya rais Donald Trump na Kim Jong Un.
Kulingaa na gazeti hilo, mkutano huo ulifanyika mara tu baada bwana Pompeo kuteuliwa kuwa waziri wa maswala ya kigeni kulingana na maafisa wawili waliokuwa na habari kuhusu safari hiyo.
Baadaye chombo cha habari cha Reuters kilisema kuwa ripoti hiyo imethibitishwa na maafisa waandamizi. Ikulu ya Whitehouse haijatoa tamko lolote.

Je Marekani na Korea Kaskazini zinawasiliana vipi?

Marekani haina uhusiano wa kidiplomasia na Korea Kaskazini lakini wajumbe wa mataifa hayo mawili wametembeleana miaka ya mbeleni na kuna idhaa zinazotumika kuwasiliana na Pyonyang.
Safari ya Bwana Pompeo ilikuwa ziara ya ngazi ya juu na kiongozi huyo wa Korea Kaskazini tangu 2000 wakati waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani Madeleine Albright alipokutana na Kim Jong-il, babake kiongozi wa sasa wa Pyonyang.
Mwaka 2014 , kiongozi wa shirika la upepelezi 2014, James Clapper alizuru Korea Kaskazini kisiri ili kujadiliana kuhusu kuwachiliwa huru kwa raia wawili wa Marekani .
Bwana Clapper hakukutana na kiongozi huyo wa Korea Kaskazini wakati wa ziara hiyo.

Je mkutano huo utafanyika wapi?

Bwana Trump aliishangaza jamii ya kimataifa kwa kukubali mapendekezo ya Pyonyang ya mazungumzo ya moja kwa moja.
Sio kawaida kwa rais wa Marekani kukutana na kiongozi wa Korea Kaskazini.
Alisema kuwa mkutano huo utafanyika mwezi Julai ama siku chache kabla ya mwezi huo huku maeneo yakiangaziwa na kwamba hakuna hata eneo moja ambalo liko Marekani miongoni mwao.
Wachanganuzi wamedai kwamba eneo la mazungumzo hayo huenda likawa eneo lisilo na majeshi kati ya Korea Kaskazini na Korea Kusini, Beijing, taifa jingine la bara Asia, Ulaya ama hata katika meli iliopo katika maji ya kimataifa.
Kim Jong-un in Pyongyang, 16 AprilHaki miliki ya pichaAFP
Korea Kaskazini imetengwa kwa miongo kadhaa kutokana na historia yake ya unyanyasaji wa haki za kibinaadamu mbali na utengenezaji wake wa silaha za kinyuklia ikikiuka sheria za kimataifa na vikwazo vya Umoja wa Mataifa.
Imetekeleza majaribio sita ya kinyuklia na ina makombora ambayo yanaweza kufika Marekani.
Lakini maandalizi ya michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi mnamo mwezi Februari nchini Korea Kusini yalitoa dirisha la kidiplomasia na wiki chache baada ya michezo hiyo kumekuwa na ziara kadhaa za Korea kaskazini kutoka China, Korea Kusini na sasa Marekani.

Je habari hii ina uzito gani?

Bwana Trump anakadiria kwamba mkutano huo unaweza kufanyika mwezi Juni ama mapema. Lakini habari za ziara ya bwana Pompeo inatarajiwa kuweka kando uhusiano mzuri kati yake na Japan , ambaye ni mshirika mkuu wa Marekani na jirani wa Korea Kaskazini.
Katibu wa maswala ya habari Ikulu ya Whitehouse Sarah Sanders (kushoto) akishughulikia mkutano kati ya Trump na AbeHaki miliki ya pichaAFP
Image captionKatibu wa maswala ya habari Ikulu ya Whitehouse Sarah Sanders (kushoto) akishughulikia mkutano kati ya Trump na Abe
Kumekuwa na hofu mjini Tokyo kwamba bwana Trump ana mpango wa mazungumzo ya kibiashara ambayo huenda yakaipuuza Japan na Shinzo Abe kwa sasa yuko nchini Marekani kwa mauzngumzo na kiongozi huyo wa Marekani.
Uhusiano kati ya wawili hao ulionekana kuwa mzuri kuhusu swala hilo , ikiwa ni mara ya pili kwamba Trump amemkaribisha bwana Abe katika mgahawa wake wa Mar-a-Lago resort.
Bwana Trump alisisitiza siku ya Jumanne kwamba mataifa hayo mawili yanashirikiana kuhusu swala la Korea Kaskazini , huku naye Shinzo Abe akimpongeza rais huyo wa Marekani kwa kuliangazia swala la Korea Kaskazini.
Hatahivyo waangalizi wanasema kuwa lengo la bwana Abe ziarani Marekani ni kuishawishi Marekani.
Waziri huyo wa Japan ameonekana kutaka kuonyesha uhusiano wa karibu na rais Trump na alikuwa kiongozi wa kwanza wa kigeni kukutana naye mjini New York baada ya ushindi wake wa uchaguzi wa mwaka 2016.Source BBC.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.