Skip to main content

CIA Mike Pompeo, alifanya ziara ya kisiri nchini Korea Kaskazini

Ziara ya bwana Pompeo's (left) nchini Korea Kaskazini ililenga kuandaa mkutano kati ya Trump na KimHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionZiara ya bwana Pompeo's (left) nchini Korea Kaskazini ililenga kuandaa mkutano kati ya Trump na Kim
Mkurugenzi wa shirika la upelelezi nchini Marekani Mike Pompeo alisafiri hadi mjini Pyongyang kwa mkutano wa kisiri na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un , kulingana na vyombo vya habari vya Marekani.
Mkutano huo ulioandaliwa kuandaa mkutano mwengine kati ya rais Donald Trump na Kim Jong Un ulifanyika wikendi ya sikukuu ya Pasaka , kulingana na maafisa amabo hawakutajwa.
Bwana Trump alikuwa amekiri kufanyika kwa mazungumzo ya hadhi ya juu na Pyongayng.
Lakini mkutano huo wa siri ambao haukutarajiwa ndio uliokuwa mkutano wa hadhi ya juu kati ya Marekani na Korea Kaskazini tangu 2000.
''Tumekuwa na mazungumzo ya moja kwa moja , katika ngazi za juu'', Bwana Trump alisema mjini Florida ambapo alikuwa anakutana na waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe.
Rais huyo aliongezea kuwa aliunga mkono mazungumzo kati ya Korea kusini na kaskazini kuzungumzia makubaliano ya amani ya kumaliza vita vya Korea vya 1950-1953
Korea Kusini imetoa ishara kwamba itaangazia suluhu rasmi ya kumaliza mgogoro huo. Rais wa Korea Kusini Moon Jae in na bwana Kim wanatarajiwa kukutana mwisho wa mwezi Aprili.

Je tunajua nini kuhusu mkutano huo wa kisiri?

Habari kwamba mteule wa rais Donald Trump katika wizara ya maswala ya kigeni alisafiri kueleka Korea Kaskazini kwa mkutano huo na bwana Kim ziliripotiwa mara kwanza na gazeti la The Washington Post.
Ni machache yanayojulikana kuhusu mazungumzo hayo mbali na kwamba yalilenga kuwa jukwaa la kuandaa mkutano mwengine wa moja kwa moja kati ya rais Donald Trump na Kim Jong Un.
Kulingaa na gazeti hilo, mkutano huo ulifanyika mara tu baada bwana Pompeo kuteuliwa kuwa waziri wa maswala ya kigeni kulingana na maafisa wawili waliokuwa na habari kuhusu safari hiyo.
Baadaye chombo cha habari cha Reuters kilisema kuwa ripoti hiyo imethibitishwa na maafisa waandamizi. Ikulu ya Whitehouse haijatoa tamko lolote.

Je Marekani na Korea Kaskazini zinawasiliana vipi?

Marekani haina uhusiano wa kidiplomasia na Korea Kaskazini lakini wajumbe wa mataifa hayo mawili wametembeleana miaka ya mbeleni na kuna idhaa zinazotumika kuwasiliana na Pyonyang.
Safari ya Bwana Pompeo ilikuwa ziara ya ngazi ya juu na kiongozi huyo wa Korea Kaskazini tangu 2000 wakati waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani Madeleine Albright alipokutana na Kim Jong-il, babake kiongozi wa sasa wa Pyonyang.
Mwaka 2014 , kiongozi wa shirika la upepelezi 2014, James Clapper alizuru Korea Kaskazini kisiri ili kujadiliana kuhusu kuwachiliwa huru kwa raia wawili wa Marekani .
Bwana Clapper hakukutana na kiongozi huyo wa Korea Kaskazini wakati wa ziara hiyo.

Je mkutano huo utafanyika wapi?

Bwana Trump aliishangaza jamii ya kimataifa kwa kukubali mapendekezo ya Pyonyang ya mazungumzo ya moja kwa moja.
Sio kawaida kwa rais wa Marekani kukutana na kiongozi wa Korea Kaskazini.
Alisema kuwa mkutano huo utafanyika mwezi Julai ama siku chache kabla ya mwezi huo huku maeneo yakiangaziwa na kwamba hakuna hata eneo moja ambalo liko Marekani miongoni mwao.
Wachanganuzi wamedai kwamba eneo la mazungumzo hayo huenda likawa eneo lisilo na majeshi kati ya Korea Kaskazini na Korea Kusini, Beijing, taifa jingine la bara Asia, Ulaya ama hata katika meli iliopo katika maji ya kimataifa.
Kim Jong-un in Pyongyang, 16 AprilHaki miliki ya pichaAFP
Korea Kaskazini imetengwa kwa miongo kadhaa kutokana na historia yake ya unyanyasaji wa haki za kibinaadamu mbali na utengenezaji wake wa silaha za kinyuklia ikikiuka sheria za kimataifa na vikwazo vya Umoja wa Mataifa.
Imetekeleza majaribio sita ya kinyuklia na ina makombora ambayo yanaweza kufika Marekani.
Lakini maandalizi ya michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi mnamo mwezi Februari nchini Korea Kusini yalitoa dirisha la kidiplomasia na wiki chache baada ya michezo hiyo kumekuwa na ziara kadhaa za Korea kaskazini kutoka China, Korea Kusini na sasa Marekani.

Je habari hii ina uzito gani?

Bwana Trump anakadiria kwamba mkutano huo unaweza kufanyika mwezi Juni ama mapema. Lakini habari za ziara ya bwana Pompeo inatarajiwa kuweka kando uhusiano mzuri kati yake na Japan , ambaye ni mshirika mkuu wa Marekani na jirani wa Korea Kaskazini.
Katibu wa maswala ya habari Ikulu ya Whitehouse Sarah Sanders (kushoto) akishughulikia mkutano kati ya Trump na AbeHaki miliki ya pichaAFP
Image captionKatibu wa maswala ya habari Ikulu ya Whitehouse Sarah Sanders (kushoto) akishughulikia mkutano kati ya Trump na Abe
Kumekuwa na hofu mjini Tokyo kwamba bwana Trump ana mpango wa mazungumzo ya kibiashara ambayo huenda yakaipuuza Japan na Shinzo Abe kwa sasa yuko nchini Marekani kwa mauzngumzo na kiongozi huyo wa Marekani.
Uhusiano kati ya wawili hao ulionekana kuwa mzuri kuhusu swala hilo , ikiwa ni mara ya pili kwamba Trump amemkaribisha bwana Abe katika mgahawa wake wa Mar-a-Lago resort.
Bwana Trump alisisitiza siku ya Jumanne kwamba mataifa hayo mawili yanashirikiana kuhusu swala la Korea Kaskazini , huku naye Shinzo Abe akimpongeza rais huyo wa Marekani kwa kuliangazia swala la Korea Kaskazini.
Hatahivyo waangalizi wanasema kuwa lengo la bwana Abe ziarani Marekani ni kuishawishi Marekani.
Waziri huyo wa Japan ameonekana kutaka kuonyesha uhusiano wa karibu na rais Trump na alikuwa kiongozi wa kwanza wa kigeni kukutana naye mjini New York baada ya ushindi wake wa uchaguzi wa mwaka 2016.Source BBC.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...