Skip to main content

Viongozi serikali za mitaa Dar es Salaam wahaswa


Image result for isaya mwita
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam Isaya Mwita


Imeelezwa kuwa changamoto ya watu kuishi maeneo ya mabondeni inatokana na baadhi ya viongozi wakiwemo wa serikali za mitaa kusimamia uuzaji wa viwanja kinyume na sheria inavyotaka.
Hayo yameelezwa na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam Isaya Mwita wakati akizungumza na kipindi hiki kufuatia changamoto ya mvua zinazoendelea kunyeesha jijini hapa ambazozimekuwa zikiwaathiri wakazi wa maeneo hayo.
Mstahiki Meya Mwita amesema ni vyema watu wakaondoka kwenye mabonde ili kuepuka kuhatarisha maisha yao kwani wao ndio nguvu kazi ya taifa.

Ameeleza changamoto zinazoikumba jiji la Dar es salaam kuwa ni pamoja na kutokuwepo na mipango mathubuti ya miundombinu lakini na kusema kuwa viongozi ndio wanaopaswa kulaumiwa kwani hakuna mtu atakayeweza kujenga mabondeni pasipo kupata ridhaa ya viongozi hao.

Halikadhalika nimezungumza na Mwenyekiti wa pugu steshen Sifa Makakala ili aweze kuzungumzia kuhusiana na  suala hilo ambapo amesema huo ni utashi wa baadhi ya watu hali ambayo zio nzuri.

Hata hivyo Mstahiki Meya Mwita amewataka wananchi wa jijini Dar es salaam kuendelea kuchukua tahadhari wakati huu wa mvua  za masika zinazoendelea kunyesha ili kuepuka maafa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...