Skip to main content

Viongozi serikali za mitaa Dar es Salaam wahaswa


Image result for isaya mwita
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam Isaya Mwita


Imeelezwa kuwa changamoto ya watu kuishi maeneo ya mabondeni inatokana na baadhi ya viongozi wakiwemo wa serikali za mitaa kusimamia uuzaji wa viwanja kinyume na sheria inavyotaka.
Hayo yameelezwa na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam Isaya Mwita wakati akizungumza na kipindi hiki kufuatia changamoto ya mvua zinazoendelea kunyeesha jijini hapa ambazozimekuwa zikiwaathiri wakazi wa maeneo hayo.
Mstahiki Meya Mwita amesema ni vyema watu wakaondoka kwenye mabonde ili kuepuka kuhatarisha maisha yao kwani wao ndio nguvu kazi ya taifa.

Ameeleza changamoto zinazoikumba jiji la Dar es salaam kuwa ni pamoja na kutokuwepo na mipango mathubuti ya miundombinu lakini na kusema kuwa viongozi ndio wanaopaswa kulaumiwa kwani hakuna mtu atakayeweza kujenga mabondeni pasipo kupata ridhaa ya viongozi hao.

Halikadhalika nimezungumza na Mwenyekiti wa pugu steshen Sifa Makakala ili aweze kuzungumzia kuhusiana na  suala hilo ambapo amesema huo ni utashi wa baadhi ya watu hali ambayo zio nzuri.

Hata hivyo Mstahiki Meya Mwita amewataka wananchi wa jijini Dar es salaam kuendelea kuchukua tahadhari wakati huu wa mvua  za masika zinazoendelea kunyesha ili kuepuka maafa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.