Skip to main content

Watani wa Jadi wakutana Mmoro



KIKOSI cha Yanga kinatarajia kuwafuata watani zao Simba ambao wako mkoani Morogoro tangu juzi kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaopigwa Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.


Simba iliwasili Morogoro ikitokea Iringa baada ya mechi yake dhidi ya Lipuli FC wakati Yanga wametua mkoani humo jana baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 na Mbeya City jijini Mbeya.

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Haji Manara, alisema kuwa timu yao imeweka kambi Morogoro na wanaamini ni mahali sahihi kwa lengo la kuwajenga wachezaji wake kuelekea mchezo huo wa Jumapili.

"Timu iko Morogoro, hali ya hewa na mazingira ya kambi ni rafiki, tunaamini benchi la ufundi litapata kile ilichokihitaji kuelekea mchezo wetu dhidi ya watani zetu," alisema Manara.

Naye Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh, alisema kuwa kikosi cha Yanga kilitarajiwa kuwasili Morogoro jana jioni tayari kuanza mazoezi ya kuwavaa watani zao.

"Tunaenda kuweka kambi Morogoro," alisema kwa kifupi meneja huyo.

Timu hizo zinazodhaminiwa na Kampuni ya Kubashiri Matokeo Michezoni ya SportPesa, zitakutana huku kila upande ukiwa na kumbukumbu ya kutoka sare katika mechi ya mzunguko wa kwanza wakati Simba yenye pointi 59 ikiwa kileleni kwa ikifuatiwa na Yanga wenye mechi mbili pungufu ukilinganisha na watani zao.

Simba na Yanga ambazo zilitolewa mapema katika mashindano ya Kombe la FA ambayo bingwa wake ataiwakilisha Tanzania Bara katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, wanafukuzana kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ili kupata tiketi ya kushiriki mashindano ya kimataifa mwakani.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.