Skip to main content

Gumzo la Mobeto


MWANANA Hamisa Mobeto ameibua gumzo wakati wa utoaji wa tuzo za Sinema Zetu baada ya kuamua kumtaja msanii maarufu Nassib Abdul a.k.a Diamond Platnumz ndio amemvutia zaidi kwa wageni waliofika kwenye sherehe hizo za utoaji tuzo.

  ,Jina la Mobeto si geni kwa Watanzania walio wengi na hasa wanaofuatilia maisha ya mastaa wa kibongo na umaarufu wake uliongzeka zaidi baada ya kubainika amezaa na Diamond.

Chanzo kimoja kimesema ,usiku wa juzi  Mobeto alikuwa moja ya wageni waalikwa katika utoaji wa tuzo hizo ambazo zimeandaliwa na Azam TV kupitia chaneli ya Sinema Zetu.Ndani ya ukumbi huo alikuwepo na Diamond.

Wakati mambo yakiendelea ukumbini hapo ndipo moja ya washehereshaji alipoamua kumfuata Hamisa Mobeto na kisha kumuuliza ni nani ambaye anaona amependeza ukumbini hapo kuliko mtu mwingine yeyote na anafurahia uwepo wake.
See the source image
Jibu la Hamisa Mobeto bila kuchelewa akataja jina la Diamond.Wakati anaaza kuulizwa Diamond alikuwa anasikilizia kwa umakini mkubwa na baada ya kutajwa yeye akajikuta aking'ata meno kwa nguvu na kwa muda wa zaidi ya dakika tatu akiwa ameshika kichwa chake.

Hata hivyo ukumbini hapo wageni waalikwa walilipuka kwa shangwe kwa kupiga kelele.Wakati Hamisa akimtaja Diamond, Wema Sepetu aliyekuwepo eneo hilo yeye alionekana akiwa 'bize' na kuchati kwenye simu yake ingawa sura yake ilionekana kutofurahia.

Ilipofika muda wa kutoa zawadi kwa moja ya washindi wa tuzo hizo akaitwa tena Diamond na Hamisa Mobeto wapande jukwaani kutoa tunzo.Hali hiyo ikamfanya Diamond kukosa la kufanya.

Hivyo akatumia nafasi hiyo kupongeza Azam TV kwa kuandaa tuzo hizo kwani zimewakutanisha wasanii mbalimbali na hata yeye amepata nafasi ya kukutana na mzazi mwenzie(Hamisa) na kufafanua hata mtoto wao akiona atafurahia kuona wakiwa wawili jukwaani hapo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.