Skip to main content

TRA yawakumbusha wafanya biashara kutumiashine za EFD





5
Maya Magimba Afisa Msaidizi wa Huduma kwa mlipa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato (TRA)akitoa mada katika moja mwaka jana.



Mamlaka ya Mapato Tanzania imeendelea kusisitiza  umma wa Watanzania na 
wafanyabiashara kwa ujumla kutumiashine za EFD,huku ikisisitiza kuwa Mtu 
binafsi awe mkazi au si mkazi anatakiwa kutembelea ofisi ya TRA ya mkoa 
au wilaya na kujaza fomu ya maombi ya Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi 
(TIN).

Mkuu wa Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam Felix Lyaniva (mwenye sharti la mikono mirefu),akikata utepe katika mfao wa cheti ikiwa ni kuashiria kuanza kwa tukio la utoaji vyeti vya kutambua viwanda vidog vidogo 300 jijini.Vyeti hivyo vimetolewa na Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo vidogo(SIDO).

Hayo yamesemwa na Maya Magimba ambaye ni Afisa huduma kwa mlipakodi 
wakati Shirika la kuhudumia Viwanda Vidogo vidogo(SIDO),likikabidhi 
vyeti vya kutambua viwanda vidogo vidogo na vya kati kwa
wamiliki na wajasiriamali zaidi ya 300 kwa Mkoa wa Dar es Salaam.

Tukio la utoaji vyeti lilifanyika sikuchache zilizopita Jijini Dar es Salaam 
ambapo aliekabidhi vyeti vya kuwatambua wamiliki na wajasiriamali 
wa viwanda hivyo alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke Felix Lyaniva 
kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ambaye alipaswa kuwa mgeni rasmi. 


"Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kuwahakikishia Wafanyabiashara 
na Watanzania kwa ujumla kuwa utaratibu wa kutumia Mashine za EFD ulianzishwa 
kwa lengo la kumrahisishia mfanyabiashara utunzaji wa kumbukumbu 
za biashara za kila siku pamoja na kuondoa usumbufu wakati wa 
ukadiriaji wa kodi,"alisema Magimba.

Magimba alisema kuwa Hati ya kwanza unayopaswa kupewa na
TRA ni namba ya utambulisho ya mlipakodi (TIN),nakuwa ni wajibu
wa mfanyabiashara kulipa kodi kwa wakati na kuwa mteja anaweza 
kupiga namba za kituo cha huduma kwa mlipa kodi 080075 
ambapo kupiga namba hiyo ni bure huku mwisho wa kupiga ikiwa
ni saa 2:00 usiku.

Kupitia tukio la utoaji vyeti imelezwa kuwa  kuna wajasiriamali 
600 na kati yao ndio hao wamepewa vyeti ili kutambua viwanda vyao 
na mchango wao katika jitihada za kuleta maendeleo kuelekea Serikali 
ya viwanda nchini.


Mamia yaWajasiriamali wa Jjiji la Dar es Salaam waliweza kufika  
wa mkoa huo, Mkuu wa Wilaya ya Temeke  Lyaniva akisema SIDO wamefanya 
tukio la kihistoria kwa kutambua mchango wa wamiliki wa viwanda hivyo 
na kuongeza Serikali kwa upande wake  itazifanyia kazi changamoto za 
wajasiriamali hao.


"Natoa pongezi na shukrani kwa Mkurugenzi Mkuu wa SIDO kwa kuendelea 
na majukumu yao ya kuwasimamia wajasiriamali wadogo na wakati 
ili watimize malengo yao,"alisema  Lyaniva.




Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...