Skip to main content

Valence Kazaura Mkulu :USHUHUDA WANGU KATIKA MAISHA YA KUJITOLEA



.

Jina Langu ni Valence niliweza kukutana na shirika la vijana IYF mwaka 2013 na kuanza maisha ya kujitolea mwaka 2014 baada ya kuhudhurio kambi ndogo ya kubadilisha.
Fikra hivyo kupitia wakati huo nilivutiwa sana na shirika hili na kutaka kujifunza lugha tu, Lakini kulingana na elimu na mafunzo niliyopata kupitia kambi mbali mbali niliamua kutafuta fursa ya kua mtuwa kujitolea ng'ambo na kufani kiwa kwenda Amerika ya kusini Paraguay na kukaa kule mwaka mmoja.


Katika kipindi changu cha kujitolea nchini Paraguay niliweza kujifunza mambo mengi ambayo sikua nikiyafahamu ikiwepo lugha ya Kispanishi, pia kuhusu elimu ya ufahamu lakini kubwa zaidi ikiwa ni pamoja na elimu ya moyo, hapa niliweza kukumbana na changamoto mbali mbali lakini changamoto kubwa ikiwa ni chakula na tamaduni za kule, mwanzo sikuwahi kula nyama lakini kupitia maisha yale niliweza kubadili mtizamo na kuzoea chakula cha kule.

Valence
Pia kupitia maisha yangu ya kujitorea nje imenifanya kuwajibika na kujitolea kijamil kwani maisha yale yalikua magumu sana kwangu.
Mwanzoni sikua nikijua kuongea lugha vizuri pia sikua na uhuru wa kujielezea nlikua naogopa sana kushiriki na wenzangu kuhusu kipaji nilichonacho lakini niliweza kufungua moyo na kujifunza vyema.

Faida: Hakika nilikua mwenye bahati na neema kupata nafasi ya kujitolea ng'ambo kwani niliweza kufundisha lugha ya Kiswahili na kueleza utamaduni wa kiafrika.
Pia nilifundishwa kuhusu elimu ya ufahamu na moyo na kufundisha watu mbali mbali wenye mawazo hasi kuhusu mtizamo wa maisha.

Utamaduni: katika utamaduni wa nchi niliyokwenda ilikua ni tofauti na Tanzania mwanzoni nilishindwa kuelewa utamaduni wa kule na kupata changamoto mbali mbali Lakini nashukuru kushiliki kwangu na watu mbali mbali kulinipa nafasi ya kufundishwa tamaduni za kule

Kukata tamaa: kweli kuna wakati nilikata tamaa kwa sababu mlihisi nadharaulika na mambo mengi siyaelewi ikiwepo lugha lakini yale yalikua ni mawazo yangu, hakika watu walinipa nafasi ya kutambua kua nchi ile ni ya upendo kwa kunifundisha mambo mbali mbali.



Mabadiliko: Hii naamini imenibadili fikra na mtazamo wangu kwani sikuwahi kufikiri ninaweza kuzungumza lugha zaidi ya mbili pia kupitia wakati ule nilijifunza hata pia kula vyakula ilikua ni kama muujiza kwani zaidi ya miaka 23 sikuwahi kula nyama yoyote ile.

Faida: Hii kweli ni ajabu kwani nilijifunza mambo mbali mbali kuhusu ufahamu na kuweza kupokea mawazo ya watu wengine, kwamba ili uweze kuelewa lazima ufungue moyo wako ndipo utaweza kupokea kitu au jambo.
Hivyo kupitia hii sasa naweza kufundisha lugha ya Spanishi kwa watu wengine na kubadili mitizamo yetu kua pamoja bila kushurutishwa.

Lengo: Kuhamasisha vijana wenzangu ili waweze kubadili mitizamo yao kuhusu ufahamu na mtizamo kwani maisha ya kujitolea ni hamasa kubwa kwa taifa na jamii yetu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.