Skip to main content

Wafanya biashara Ujeruman Kuwekeza Nchini

Na Francis Peter

KITUO cha Uwekezaji nchini (TIC) kimesema kuwa sera nzuri za serikali
ya awamu ya tano,  inayoongozwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania DKT. John 
Pombe Magufuli ambapo zimekuwa kichocheo cha wanaotaka kuja kuwekeza nchini
huku chama cha wafanya biashara cha Ujerumani (DIHK) kikiwa kimefika 
nchini kutokana na kuvutiwa na sera hizo.

Tokeo la picha la tic mkurugenzi   Geoffrey Mwambe 2018

Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Geoffrey Mwambe


Hayo yalisemwa jana wakati 
wa Mkutano na ujumbe wa Wawekezaji hao,  waliotoka nchini Ujerumani  
kwenye mipango ya kuja kuwekeza nchini.


Alisema chama hicho cha DIHK kikiwa kimeongozwa na Mkurugenzi wao
Dr Martin Wansleben kimesema kimevutiwa na sera nzuri na kuwa 
kikpo tayari kuwekeza nchini.


"Ujembe wa nchini hiyo ulifika na tumeweza kujadiliana na hoja mbali mbali 
juu ya wao kuwekeza nchini ambapo hiyo ni mara ya pili sasa Wajerumani 
kutua nchini katika jambo hilo linalovutiwa na sera ya nzuri za serikali
ya awamu ya tano,"alisema Mwambe.

Mwambe alisema kuwa mkutano huo ulikuwa na hoja mbali mbali na kuwa
wageni hao waliweza kudadisi zaidi masuala mbali mbali kama suala
la mihundo mbinu namambo mengine kama ukuaji wa idadi ya watu kwa
kila mwaka jambo ambalo ni la msingi kwa mwekezaji kulifahamu katika
kipindi hiki .

Aidha  Mkurugenzi wa DIHK alisema kuwa  tayari wao wanataka kuwekeza 
Afrika  nakuwa tayari wamekubali kufungua ofisi zao nchini Tanzania
huku ikiwa ni moja ya mafanikio hayo yanayotazamiwa kuwa bora nchini.


"Nimeridhishwa na mazingira bora kabisa kibiashara  na hivyo tumeamua kuja
nchini Tanzania kwa nia moja ya uwekezaji kibiashara na kuwa tunaomba
kupewa ushirikiano  wa kutosha na taasisi mbali  mbali za serikali
na zisizoza serikali pamoja na makampuni mengine ya Tanzania,"alisema
Dr Martin.

Dr Martin alisema kuwa ameambatana na viongozi wengine wa serikali pamoja 
na wawekezaji na wabunge wa Ujerumani katika mkutano huo na kuongeza
kuwa ushirikiano utasababisha hatua za kiuchumi kukua kwa haraka.


TIC katika mkutano na wamekezaji hao ilipambanua kuwa hukuaji wa ongezeko la
watu nchini ni asilimia 2.7 kwa mwaka ambapo ni kichocheo kingine kinachoweza
kumvutia mwekezaji.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...