Skip to main content

Wafanya biashara Ujeruman Kuwekeza Nchini

Na Francis Peter

KITUO cha Uwekezaji nchini (TIC) kimesema kuwa sera nzuri za serikali
ya awamu ya tano,  inayoongozwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania DKT. John 
Pombe Magufuli ambapo zimekuwa kichocheo cha wanaotaka kuja kuwekeza nchini
huku chama cha wafanya biashara cha Ujerumani (DIHK) kikiwa kimefika 
nchini kutokana na kuvutiwa na sera hizo.

Tokeo la picha la tic mkurugenzi   Geoffrey Mwambe 2018

Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Geoffrey Mwambe


Hayo yalisemwa jana wakati 
wa Mkutano na ujumbe wa Wawekezaji hao,  waliotoka nchini Ujerumani  
kwenye mipango ya kuja kuwekeza nchini.


Alisema chama hicho cha DIHK kikiwa kimeongozwa na Mkurugenzi wao
Dr Martin Wansleben kimesema kimevutiwa na sera nzuri na kuwa 
kikpo tayari kuwekeza nchini.


"Ujembe wa nchini hiyo ulifika na tumeweza kujadiliana na hoja mbali mbali 
juu ya wao kuwekeza nchini ambapo hiyo ni mara ya pili sasa Wajerumani 
kutua nchini katika jambo hilo linalovutiwa na sera ya nzuri za serikali
ya awamu ya tano,"alisema Mwambe.

Mwambe alisema kuwa mkutano huo ulikuwa na hoja mbali mbali na kuwa
wageni hao waliweza kudadisi zaidi masuala mbali mbali kama suala
la mihundo mbinu namambo mengine kama ukuaji wa idadi ya watu kwa
kila mwaka jambo ambalo ni la msingi kwa mwekezaji kulifahamu katika
kipindi hiki .

Aidha  Mkurugenzi wa DIHK alisema kuwa  tayari wao wanataka kuwekeza 
Afrika  nakuwa tayari wamekubali kufungua ofisi zao nchini Tanzania
huku ikiwa ni moja ya mafanikio hayo yanayotazamiwa kuwa bora nchini.


"Nimeridhishwa na mazingira bora kabisa kibiashara  na hivyo tumeamua kuja
nchini Tanzania kwa nia moja ya uwekezaji kibiashara na kuwa tunaomba
kupewa ushirikiano  wa kutosha na taasisi mbali  mbali za serikali
na zisizoza serikali pamoja na makampuni mengine ya Tanzania,"alisema
Dr Martin.

Dr Martin alisema kuwa ameambatana na viongozi wengine wa serikali pamoja 
na wawekezaji na wabunge wa Ujerumani katika mkutano huo na kuongeza
kuwa ushirikiano utasababisha hatua za kiuchumi kukua kwa haraka.


TIC katika mkutano na wamekezaji hao ilipambanua kuwa hukuaji wa ongezeko la
watu nchini ni asilimia 2.7 kwa mwaka ambapo ni kichocheo kingine kinachoweza
kumvutia mwekezaji.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.