Skip to main content

Wafanya biashara Ujeruman Kuwekeza Nchini

Na Francis Peter

KITUO cha Uwekezaji nchini (TIC) kimesema kuwa sera nzuri za serikali
ya awamu ya tano,  inayoongozwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania DKT. John 
Pombe Magufuli ambapo zimekuwa kichocheo cha wanaotaka kuja kuwekeza nchini
huku chama cha wafanya biashara cha Ujerumani (DIHK) kikiwa kimefika 
nchini kutokana na kuvutiwa na sera hizo.

Tokeo la picha la tic mkurugenzi   Geoffrey Mwambe 2018

Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Geoffrey Mwambe


Hayo yalisemwa jana wakati 
wa Mkutano na ujumbe wa Wawekezaji hao,  waliotoka nchini Ujerumani  
kwenye mipango ya kuja kuwekeza nchini.


Alisema chama hicho cha DIHK kikiwa kimeongozwa na Mkurugenzi wao
Dr Martin Wansleben kimesema kimevutiwa na sera nzuri na kuwa 
kikpo tayari kuwekeza nchini.


"Ujembe wa nchini hiyo ulifika na tumeweza kujadiliana na hoja mbali mbali 
juu ya wao kuwekeza nchini ambapo hiyo ni mara ya pili sasa Wajerumani 
kutua nchini katika jambo hilo linalovutiwa na sera ya nzuri za serikali
ya awamu ya tano,"alisema Mwambe.

Mwambe alisema kuwa mkutano huo ulikuwa na hoja mbali mbali na kuwa
wageni hao waliweza kudadisi zaidi masuala mbali mbali kama suala
la mihundo mbinu namambo mengine kama ukuaji wa idadi ya watu kwa
kila mwaka jambo ambalo ni la msingi kwa mwekezaji kulifahamu katika
kipindi hiki .

Aidha  Mkurugenzi wa DIHK alisema kuwa  tayari wao wanataka kuwekeza 
Afrika  nakuwa tayari wamekubali kufungua ofisi zao nchini Tanzania
huku ikiwa ni moja ya mafanikio hayo yanayotazamiwa kuwa bora nchini.


"Nimeridhishwa na mazingira bora kabisa kibiashara  na hivyo tumeamua kuja
nchini Tanzania kwa nia moja ya uwekezaji kibiashara na kuwa tunaomba
kupewa ushirikiano  wa kutosha na taasisi mbali  mbali za serikali
na zisizoza serikali pamoja na makampuni mengine ya Tanzania,"alisema
Dr Martin.

Dr Martin alisema kuwa ameambatana na viongozi wengine wa serikali pamoja 
na wawekezaji na wabunge wa Ujerumani katika mkutano huo na kuongeza
kuwa ushirikiano utasababisha hatua za kiuchumi kukua kwa haraka.


TIC katika mkutano na wamekezaji hao ilipambanua kuwa hukuaji wa ongezeko la
watu nchini ni asilimia 2.7 kwa mwaka ambapo ni kichocheo kingine kinachoweza
kumvutia mwekezaji.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...