Skip to main content

Soma hii hapa kutoka Mbeya

Serikali inaendelea na mikakati wa kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma bora za afya na kwa wakati ili kuleta ustawi katika kufikia azma ya Tanzania ya viwanda.

Hayo yamebainishwa leo Jijini Mbeya na Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya, Constantine Mushi alipokuwa akizinduzi mafunzo kwa wakufunzi wa kitaifa kuhusu Bima ya Afya ya Jamii (CHF), mfumo wa kupeleka fedha moja kwa moja katika vituo vya kutolea huduma (DHFF), na mfumo wa manunuzi ya dawa nje ya mfumo wa kawaida wa MSD (Jazia – Prime Vendor System).
Kaimu Katibu Tawala huyo aliongeza kuwa Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli imedhamiria kuhakikisha wananchi wake wanakuwa na afya ya uhakika kwa kupata huduma bora za afya na kwa wakati, jambo lililopelekea kuanzishwa kwa utaratibu wa kupeleka fedha moja kwa moja katika vituo vya kutolea huduma tofauti na ilivyokuwa hapo nyuma.
“lengo mahususi ya mafunzo haya ni kuelewa kwa upana maana ya mipango ya afya na bajeti kwa utaratibu wa kupeleka fedha moja kwa moja kwenye vituo vya kutolea huduma (DHFF)”yenye matarajio ya kupunguza urasimu na kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa kuimarisha uwajibikaji na uboreshaji wa uandaaji wa mipango, bajeti na matumizi yanayolenga kuboresha huduma za afya,” alisisitiza.
Aliongeza kuwa mpaka sasa katika robo ya pili ya mwaka Serikali imekwisha peleka takribani shilingi bilioni 45 katika jumla ya vituo vya kutolea huduma za afya 5,125 nchi nzima.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.