Skip to main content

Jumla ya taasisi 35 za Tanzania zimeazimia kusafirisha Mahujaji 3000

JUMLA ya  taasisi 35 za Tanzania zimeazimia kusafirisha Mahujaji 3000,kati ya
taasisi hizo 20 zimesajiliwa Zanzibar  na zinaratibiwa na  Kamisheni ya Wakfu na
Mali ya Amana na Taasisi 15 zimesajiliwa Tanzania Bara na zinaratibiwa na BAKWATA.

Hayo yamezungumzwa Dar es Salaam jana na Rais wa Biitha Hijja ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzaia Sheikh Abdulla Talib Abdulla ambapo alisema kuwa kiutaratibu
usajili haujifungi kijografia bali unakuwa ni kwa(Operation), hivyo taasisi
takribani zote huwa na Mawakala wake na hukusanya Muhujaji  kutoka pande
zote mbili za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .


Alisema Ibada ya Hijja kwa mwaka huu inatarajiwa kuanza Agast 18 na hata hivyo
kuna ratiba maalumu inayotolewa na Wizara ya Hijja na Umra ambapo malipo na
taarifa mbali mbali hutakiwakulipwa au kutolewa  katika tarehe maalumu.

"Taasisi inayokamilisha malipo na shartihizo ndio inayoruhusiwa  kusafirisha mahujaji,
ambapo tayari kuna taasisi  26 zimekamilisha gharama ya benki Guatantee ya Saudi Arabia
na viongozi wake  wameshaombewa visa kwa ajili ya kwenda kukamilisha taratibu za mikataba
ya makazi na usafirishaji ambayo mwisho wake ni Mei 15 mwaka huu,"alisema Sheikh Abdulla.


Sheikh Abdulla alisema taasisi 15 ambazo zimekamilisha malipo na mashart yote yanayotakiwa
zimeisha fanyiwa Activation katika mtandao wa Wizara ya Hijja.

Aidha alisema anawashukuru wasaidizi wake kutoka Kamisheni ya Wakfu,BAKWATA na
Umoja wa Taasisi za Hijja Zanzibar.

Sheikh Abdulla aliongeza kuwa malengo makubwa ya kuelrzea mkutano huo pia yalilenga
 maendeleo ya matayarisho ya safari ya ibada ya Hijja kwa mwaka 2018 sawa na 1439
hijiria.

Ambapo mwaka 1997 shughuli za Hijja katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
zinaratibiwa na Biitha ya Hijja ya Tanzania (Tanzania Haji Mission) kwa mata
kwa ya Serikali ya Saudi Arabia ya kuitaka kila Nchi yenye kusafirisha Mahujaji
lazima kuunda chombo hicho ambacho ndicho kinachowakilisha Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na kinaongozwa na Ktibu Mtendaji wa kamisheni ya Wakfu na mali
ya Amana Zanzibar.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.