Skip to main content

Jumla ya taasisi 35 za Tanzania zimeazimia kusafirisha Mahujaji 3000

JUMLA ya  taasisi 35 za Tanzania zimeazimia kusafirisha Mahujaji 3000,kati ya
taasisi hizo 20 zimesajiliwa Zanzibar  na zinaratibiwa na  Kamisheni ya Wakfu na
Mali ya Amana na Taasisi 15 zimesajiliwa Tanzania Bara na zinaratibiwa na BAKWATA.

Hayo yamezungumzwa Dar es Salaam jana na Rais wa Biitha Hijja ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzaia Sheikh Abdulla Talib Abdulla ambapo alisema kuwa kiutaratibu
usajili haujifungi kijografia bali unakuwa ni kwa(Operation), hivyo taasisi
takribani zote huwa na Mawakala wake na hukusanya Muhujaji  kutoka pande
zote mbili za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .


Alisema Ibada ya Hijja kwa mwaka huu inatarajiwa kuanza Agast 18 na hata hivyo
kuna ratiba maalumu inayotolewa na Wizara ya Hijja na Umra ambapo malipo na
taarifa mbali mbali hutakiwakulipwa au kutolewa  katika tarehe maalumu.

"Taasisi inayokamilisha malipo na shartihizo ndio inayoruhusiwa  kusafirisha mahujaji,
ambapo tayari kuna taasisi  26 zimekamilisha gharama ya benki Guatantee ya Saudi Arabia
na viongozi wake  wameshaombewa visa kwa ajili ya kwenda kukamilisha taratibu za mikataba
ya makazi na usafirishaji ambayo mwisho wake ni Mei 15 mwaka huu,"alisema Sheikh Abdulla.


Sheikh Abdulla alisema taasisi 15 ambazo zimekamilisha malipo na mashart yote yanayotakiwa
zimeisha fanyiwa Activation katika mtandao wa Wizara ya Hijja.

Aidha alisema anawashukuru wasaidizi wake kutoka Kamisheni ya Wakfu,BAKWATA na
Umoja wa Taasisi za Hijja Zanzibar.

Sheikh Abdulla aliongeza kuwa malengo makubwa ya kuelrzea mkutano huo pia yalilenga
 maendeleo ya matayarisho ya safari ya ibada ya Hijja kwa mwaka 2018 sawa na 1439
hijiria.

Ambapo mwaka 1997 shughuli za Hijja katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
zinaratibiwa na Biitha ya Hijja ya Tanzania (Tanzania Haji Mission) kwa mata
kwa ya Serikali ya Saudi Arabia ya kuitaka kila Nchi yenye kusafirisha Mahujaji
lazima kuunda chombo hicho ambacho ndicho kinachowakilisha Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na kinaongozwa na Ktibu Mtendaji wa kamisheni ya Wakfu na mali
ya Amana Zanzibar.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...