Skip to main content

Zanzibar kunufaika ziara ya Kikwete Kuwait


TANZANIA itanufaika kwa kiasi kikubwa kutokana na ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano, Jakaya Mrisho Kikwete nchini Kuwait.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mtawala wa Dola ya Kuwait Amiri Sabah Al-Ahmad Al-Jaber Al-sabah katika mazungumzo mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kuwait City  Mei 5, 2013 
Manufaa hayo kwa Tanzania yametangazwa katika mazungumzo rasmi na kati ya Rais Kikwete na Kiongozi wa Kuwait, Emir Sheikh Sabah Al Ahmad Al Jaber Al Sabah na katika mazungumzo na Naibu Mkurugenzi wa Mfuko wa Kuwait wa Maendeleo ya Nchi za Kiarabu (Kuwait Fund) Ghanim Sulaiman Al-Ghaniman.
Katika mazungumzo yaliyofanyika kwenye kasri ya Bayan kabla ya kumwandalia dhifa ya kitaifa Rais Kikwete, kiongozi wa Kuwait aliahidi kuwa nchi yake itaisaidia Tanzania katika miradi yote ya maendeleo ambayo serikali ya Tanzania imeomba kuungwa mkono wakati wa ziara ya siku mbili ya kiserikali ya Rais Kikwete.
Emir alimwambia Rais Kikwete kuwa nchi yake tayari imetoa fedha za kufanyia upembuzi yakinifu wa ujenzi wa barabara ya Chaya-Nyahua katika mikoa ya Singida na Tabora na inafikiria kutoa fedha za ujenzi wa barabara hiyo yenye kilomita 90 katika kiwango cha lami.
Ujenzi wa kipande hicho cha barabara ni sehemu ya barabara ya kilomita 700 ya kuunganisha Manyoni, mkoa wa Singida na Kigoma na ujenzi wake utakuwa umekamilisha kwa asilimia kubwa barabara hiyo muhimu kwa mawasiliano ya kutoka magharibi kwenda mashariki mwa Tanzania.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.