Skip to main content

Zanzibar kunufaika ziara ya Kikwete Kuwait


TANZANIA itanufaika kwa kiasi kikubwa kutokana na ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano, Jakaya Mrisho Kikwete nchini Kuwait.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mtawala wa Dola ya Kuwait Amiri Sabah Al-Ahmad Al-Jaber Al-sabah katika mazungumzo mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kuwait City  Mei 5, 2013 
Manufaa hayo kwa Tanzania yametangazwa katika mazungumzo rasmi na kati ya Rais Kikwete na Kiongozi wa Kuwait, Emir Sheikh Sabah Al Ahmad Al Jaber Al Sabah na katika mazungumzo na Naibu Mkurugenzi wa Mfuko wa Kuwait wa Maendeleo ya Nchi za Kiarabu (Kuwait Fund) Ghanim Sulaiman Al-Ghaniman.
Katika mazungumzo yaliyofanyika kwenye kasri ya Bayan kabla ya kumwandalia dhifa ya kitaifa Rais Kikwete, kiongozi wa Kuwait aliahidi kuwa nchi yake itaisaidia Tanzania katika miradi yote ya maendeleo ambayo serikali ya Tanzania imeomba kuungwa mkono wakati wa ziara ya siku mbili ya kiserikali ya Rais Kikwete.
Emir alimwambia Rais Kikwete kuwa nchi yake tayari imetoa fedha za kufanyia upembuzi yakinifu wa ujenzi wa barabara ya Chaya-Nyahua katika mikoa ya Singida na Tabora na inafikiria kutoa fedha za ujenzi wa barabara hiyo yenye kilomita 90 katika kiwango cha lami.
Ujenzi wa kipande hicho cha barabara ni sehemu ya barabara ya kilomita 700 ya kuunganisha Manyoni, mkoa wa Singida na Kigoma na ujenzi wake utakuwa umekamilisha kwa asilimia kubwa barabara hiyo muhimu kwa mawasiliano ya kutoka magharibi kwenda mashariki mwa Tanzania.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...