Skip to main content

Somalia inaangalia kuendelea na maendeleo kwa msaada kutoka mkutano wa London


Na Abdi Moalim, Mogadishu
Baada ya mikutano mingi wiki hii katika mkutano wa London kuhusu Somalia, Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud na mawaziri wake wamerudi nyumbani wakiwa na ahadi kutoka jumuiya za kimataifa ya takribani dola milioni 450 kusaidia miradi mingi.
Wakaazi wa Mogadishu waliandamana mitaa Jumanne (tarehe 7 Mei) kuonyesha kuunga mkono mkutano wa London kuhusu Somalia. [Abdi Said/Sabahi]
Katika hotuba yake ya ufunguzi kwenye mkutano huo, Mohamud alilinganisha Somalia na mti mchanga uliooteshwa huko Villa Somalia ambao unahitaji kumwagiliwa. kutunzwa na kulindwa dhidi ya wanyama.
"Kipindi cha kwanza cha ukuaji mara zote ni chenye hatari sana, ambapo msaada mkubwa na ulinzi unahitajika," alisema.
"Tunahitaji ulinzi dhidi ya wale wanaojaribu kutuangamiza kabisa," alisema. "Kwa pamoja, tunaweza kufanya Somalia kuwa imara tena -- mti mrefu uliosimama katika msitu wa Afrika ukiwa na mizizi mirefu uliokingwa kwa usalama katika kanda yake na kutoa kivuli kwa watu wake wakati wakijenga tena maisha yao."
Waziri Mkuu wa Somalia Abdi Farah Shirdon akipunga mkono kwa wakaazi wa Mogadishu waliojitokeza Jumanne (tarehe 7 Mei) kuonyesha kuunga kwao mkono mkutano wa kimataifa kuhusu Somalia huko London. [Abdi Said/Sabahi]
Jumuiya za kimataifa zilijibu mwitikio wa Mohamud kwa kuahidi mamia ya mamilioni ya dola. Pia ziliidhinisha mipango ya kina yaliyowasilishwa na mawaziri wa Somalia, na kuahidi utaalamu na ufadhili wa fedha ili kuzitekeleza.
Kwenye mkutano huo, serikali ya Uingereza iliahidi dola milioni 277, ambapo dola milioni 54 zitaelekezwa kwenye miradi kushughulikia changamoto ya usalama wa Somalia na serikali, na dola milioni 223 zitasaidia Somalia kukabiliana na njaa kwa siku zijazo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.