Skip to main content

Somalia inaangalia kuendelea na maendeleo kwa msaada kutoka mkutano wa London


Na Abdi Moalim, Mogadishu
Baada ya mikutano mingi wiki hii katika mkutano wa London kuhusu Somalia, Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud na mawaziri wake wamerudi nyumbani wakiwa na ahadi kutoka jumuiya za kimataifa ya takribani dola milioni 450 kusaidia miradi mingi.
Wakaazi wa Mogadishu waliandamana mitaa Jumanne (tarehe 7 Mei) kuonyesha kuunga mkono mkutano wa London kuhusu Somalia. [Abdi Said/Sabahi]
Katika hotuba yake ya ufunguzi kwenye mkutano huo, Mohamud alilinganisha Somalia na mti mchanga uliooteshwa huko Villa Somalia ambao unahitaji kumwagiliwa. kutunzwa na kulindwa dhidi ya wanyama.
"Kipindi cha kwanza cha ukuaji mara zote ni chenye hatari sana, ambapo msaada mkubwa na ulinzi unahitajika," alisema.
"Tunahitaji ulinzi dhidi ya wale wanaojaribu kutuangamiza kabisa," alisema. "Kwa pamoja, tunaweza kufanya Somalia kuwa imara tena -- mti mrefu uliosimama katika msitu wa Afrika ukiwa na mizizi mirefu uliokingwa kwa usalama katika kanda yake na kutoa kivuli kwa watu wake wakati wakijenga tena maisha yao."
Waziri Mkuu wa Somalia Abdi Farah Shirdon akipunga mkono kwa wakaazi wa Mogadishu waliojitokeza Jumanne (tarehe 7 Mei) kuonyesha kuunga kwao mkono mkutano wa kimataifa kuhusu Somalia huko London. [Abdi Said/Sabahi]
Jumuiya za kimataifa zilijibu mwitikio wa Mohamud kwa kuahidi mamia ya mamilioni ya dola. Pia ziliidhinisha mipango ya kina yaliyowasilishwa na mawaziri wa Somalia, na kuahidi utaalamu na ufadhili wa fedha ili kuzitekeleza.
Kwenye mkutano huo, serikali ya Uingereza iliahidi dola milioni 277, ambapo dola milioni 54 zitaelekezwa kwenye miradi kushughulikia changamoto ya usalama wa Somalia na serikali, na dola milioni 223 zitasaidia Somalia kukabiliana na njaa kwa siku zijazo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...