Skip to main content

Kliniki za afya za AMISOM zawatibu Wasomali katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-Shabaab


Na Abdi Said, Mogadishu
Katika kipindi cha miezi sita iliyopita, Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) imefungua kliniki za afya nane na hospitali tatu katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-Shabaab, kwa mujibu wa msemaji wa AMISOM Kanali Ali Aden Humad.
Wakina mama na watoto wakisubiri huduma za matibabu kwenye kituo cha jeshi cha AMISOM huko Halane jijini Mogadishu. [Abdi Said/Sabahi]
Kliniki hizo zipo katika wilaya kadhaa za mikoa ya Shabelle ya Kati na ya Chini, na hospitali hizo zipo Beledweyne, Kismayo na Baidoa. Zinatoa huduma kamili mbalimbali za afya, Humad alisema.
"Tuna vifaa vya kisasa vya huduma za afya, ikiwa ni pamoja na vifaa vya maabara kwa ajili ya kuchunguza magonjwa ya kawaida, mashine ya kufanya eksirei kwa jeraha ya mfupa, mashine ya kuchunguza shinikizo juu la damu na kisukari, na dawa hutolewa bure na madaktari wenye sifa za hali ya juu," aliiambia Sabahi.
AMISOM imeweka katika hospitali hizo madaktari wawili na wauguzi kumi kwa kila moja ili kuhudumia wagonjwa wapatao 300 kwa siku. Vituo vidogo vya afya huhudumia wagonjwa wachache, Humad alisema. Kliniki jongevu za afya pia zipo na zinatoa huduma vijijini.
Abdi Malim Hussein, mwenye umri wa miaka 12, akipata huduma za matibabu katika hospitali ya AMISOM jijini Mogadishu. Hussein alipigwa risasi kwenye nyonga mwezi Machi na al-Shabaab baada ya yeye na marafiki zake wanne kujaribu kutoroka kwenye kambi ya mafunzo katika wilaya ya Mahadey huko Shabelle ya Kati mahali walipopelekwa na kushikiliwa mateka. [Abdi Said/Sabahi]
AMISOM ilifungua vituo hivyo baada ya kushauriana na wazee wa kimila, ambao waliwaambia kwamba huduma za afya miongoni mwa watu zinahitajika sana. Gharama za uendeshaji zinatoka moja kwa moja kwenye bajeti ya AMISOM.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...