Skip to main content

Kliniki za afya za AMISOM zawatibu Wasomali katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-Shabaab


Na Abdi Said, Mogadishu
Katika kipindi cha miezi sita iliyopita, Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) imefungua kliniki za afya nane na hospitali tatu katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-Shabaab, kwa mujibu wa msemaji wa AMISOM Kanali Ali Aden Humad.
Wakina mama na watoto wakisubiri huduma za matibabu kwenye kituo cha jeshi cha AMISOM huko Halane jijini Mogadishu. [Abdi Said/Sabahi]
Kliniki hizo zipo katika wilaya kadhaa za mikoa ya Shabelle ya Kati na ya Chini, na hospitali hizo zipo Beledweyne, Kismayo na Baidoa. Zinatoa huduma kamili mbalimbali za afya, Humad alisema.
"Tuna vifaa vya kisasa vya huduma za afya, ikiwa ni pamoja na vifaa vya maabara kwa ajili ya kuchunguza magonjwa ya kawaida, mashine ya kufanya eksirei kwa jeraha ya mfupa, mashine ya kuchunguza shinikizo juu la damu na kisukari, na dawa hutolewa bure na madaktari wenye sifa za hali ya juu," aliiambia Sabahi.
AMISOM imeweka katika hospitali hizo madaktari wawili na wauguzi kumi kwa kila moja ili kuhudumia wagonjwa wapatao 300 kwa siku. Vituo vidogo vya afya huhudumia wagonjwa wachache, Humad alisema. Kliniki jongevu za afya pia zipo na zinatoa huduma vijijini.
Abdi Malim Hussein, mwenye umri wa miaka 12, akipata huduma za matibabu katika hospitali ya AMISOM jijini Mogadishu. Hussein alipigwa risasi kwenye nyonga mwezi Machi na al-Shabaab baada ya yeye na marafiki zake wanne kujaribu kutoroka kwenye kambi ya mafunzo katika wilaya ya Mahadey huko Shabelle ya Kati mahali walipopelekwa na kushikiliwa mateka. [Abdi Said/Sabahi]
AMISOM ilifungua vituo hivyo baada ya kushauriana na wazee wa kimila, ambao waliwaambia kwamba huduma za afya miongoni mwa watu zinahitajika sana. Gharama za uendeshaji zinatoka moja kwa moja kwenye bajeti ya AMISOM.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.