Skip to main content

SOMS DAU LA NGASA KUTUA YANGA




HATIMAYE mshambuliaji Mrisho Ngasa wa klabu ya Simba ametia saini
mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia klabu yake ya zamani ya Yanga
kwa ajili ya michuano ya ligi kuu na kimataifa.

Japokuwa viongozi wa Yanga hawakuwa tayari kutaja kiwango cha pesa
walichomlipa mchezaji huyo, kuna habari kuwa, Ngasa amechota zaidi
ya sh. milioni 30 na atakuwa akilipwa mshahara wa sh. milioni tatu
kwa mwezi.

Mara baada ya kutambulishwa kwa waandishi wa habari jana makao
makuu ya klabu hiyo, mitaa ya Twiga na Jangwani, Dar es Salaam,
Ngasa alisema amefurahi kurudi nyumbani.

Ngasa alisema amekubali kutia saini mkataba na Yanga kwa sababu ana
mapenzi na klabu hiyo, aliyokuwa akiichezea kabla ya kujiunga na
Azam.

"Nimefurahi kurejea katika klabu, ambayo naipenda. Nilicheza Simba
kwa ajili ya kazi tu na nilicheza kwa nguvu zangu zote ili kupata
ushindi, lakini hawakuwa na imani na mimi,"alisema.

Ngasa aliwasili makao makuu ya Yanga akiwa amefutana na Mwenyekiti
wa Yanga, Yussuf Manji, Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano, Abdalla
Bin Kleb, mjumbe wa kamati ya usajili, Seif Ahmed 'Magari' na
mjumbe wa baraza la wadhamini, Francis Kifukwe.

Bin Kleb alisema ujio wa mchezaji huyo utaiongezea nguvu Yanga na
kwamba walimsaka mchezaji huyo kwa miezi sita kabla ya kufanikiwa
kumshawishi arejee nyumbani.

Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga, Lawrence Mwalusako alisema Ngasa ni
mchezaji mahiri nchini hivyo kurejea kwake Yanga ni faraja kubwa
kwa klabu hiyo.

Ngasa alijiunga na Yanga kwa mara ya kwanza 2006 akitokea Kagera
Sugar, ambayo ilimsajili kutoka Toto Africans. Mshambuliaji huyo
alikwenda kufanya majaribio ya kucheza soka ya kulipwa katika klabu
ya West Ham, 2009 kabla ya kwenda kujaribiwa Seattle Sounders ya
Marekani.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.