Skip to main content

Bayern yaiangamiza Barca, Champions League




Mashabiki wa Bayern Munich walisherehekea kipigo cha pili katika muda wa siku tisa dhidi ya timu ya Barcelona iliyotamba na usakataji wake wa soka katika bara la Ulaya na pengine dunia, ilipokubali kipigo cha mabao 3-0.
Bayern Munich's players celebrate their victory at the end of the UEFA Champions League semi-final second leg football match FC Barcelona vs FC Bayern Munich at the Camp Nou stadium in Barcelona on May 1, 2013. Bayern Munich won the match 3-0. AFP PHOTO / LLUIS GENE (Photo credit should read LLUIS GENE/AFP/Getty Images)
Barcelona ilichezea kipigo cha mabao 4-0 mjini Munich Jumanne iliyopita na kipigo cha jana (01.05.2013), kinaashiria kuwa huenda utandazaji wa soka wa kile kinachojulikana kama " tiki taka" , unaelekea ukingoni.
Bayern Munich ilivamia ngome ya Nou Camp na kufanikiwa kupata nafasi ya kuingia katika fainali ya kwanza ya timu mbili za Ujerumani katika kinyang'anyiro cha Champions League. Bayern imekamilisha hatua hiyo kwa kipigo cha jumla ya mabao 7-0 dhidi ya barcelona, na kuingia katika daraja la kuitwa wafalme wapya wa Ulaya.
Wazee wa Tiki Taka Barcelona wakitoka uwanjani vichwa chini na mikoni viunoni
Wazee wa Tiki Taka Barcelona wakitoka uwanjani vichwa chini na mikoni viunoni
Mabingwa hao wapya wa Bundesliga , ambao wanafukuzia ubingwa wao wa tano katika mashindano hayo ya bara la ulaya , watapambana na Borussia Dortmund hapo Mei 25 katika uwanja maarufu wa Wembley mjini London.
Messi aduwaa
Nyota wa Barcelona Leonel Messi alikuwa akitazama tu akiwa benchi wakati Bayern ilipokamilisha dhoroba yake na kuwasambaratisha mabingwa hao watarajiwa nchini Uhispania kwa mabao 3-0.
epa03684152 FC Barcelona's Argentinian striker Lionel Messi sits on the bench during the UEFA Champions League semi final second leg soccer match between FC Barcelona and Bayern Munich at Camp Nou in Barcelona, Spain, 01 May 2013. EPA/ANDREU DALMAU
Leonel Messi akitumbua macho tu bila kujua la kufanya
Kwa kumuweka benchi mfungaji wao huyo maarufu baada ya kupata maumivu ya paja , Barcelona walishindwa kuipa changamoto ya maana Bayern, na kushindwa kufurukuta kuweza kupindua matokeo ya hapo awali ya mabao 4-0 mjini Munich.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...