Skip to main content

Rais wa Zanzibar Dk.Shein Azinduwa Tawi la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Zanzibar.



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Tawi la Zanzibar, akiongozana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo hicho Dk. Salim Ahmed Salim. kwa ajili ya uzinduzi wa Chuo hicho kilioko nje kidogo ya Mji wa Zanzibar Bububu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka jiwe la Msingi la Jengo la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Bububu Zanzibar, kulia Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo hicho Dk. Salim Ahmed Salim na kushoto Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif hamad.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia katika sherere za uzindizi wa Chuo cha Kumbkumbu ya Mwalimu Nyerere Bububu Zanzibar.

Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dk. John Magotti, akitowa historia ya Chuo hicho kwa Rais wa Zanzibar katika sherere za ufunguzi wa Jengo la Chuo hicho huko Bububu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar ma Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akimsikiliza Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dk. John.Mogotti akihutubia na kutowamaelezo ya ujenzi wa jengo hilo.

Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dk. Salim Ahmed Salim akizungumza katika uzinduzi huowa Jengo la Chuo hicho uliofanywa na Rais wa Zanzibar Dk. Shein.

MWENYEKITI wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya MwalimNyerere Dk. Salim Ahmed Salim, akimkabidhi zawadi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, katikati Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad,

Kwa taswira zaidi endelea kutembelea ZanziNews

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.