Habari kutoka kwa mtu wa karibu na Rapper Ngwea, aliejitambulisha kwa
jina la Hamisi, amesema Ngwea alikua kule kwa mualiko wa kufanya show
South Africa, ambapo alikua na msanii mwingine anaeitwa M to the P, na
walitakiwa kuondoka leo kurudi Dar saa tatu asubuhi, lakini baada ya
kuona hawatokei ndio wakaamua kwenda walipokuwa wamefikia na kuwakuta
wote wawili wakiwa hawajielewi baada ya kujidunga madawa ya kulevya
mengi (overdose), walipowahishwa hospitali, habari ndio ikawa hivi, kuwa
Ngwea amefariki na M to the P yuko hoi hospitali
May God give you peace brother.Blog ya Dj Fetty jana iliandika hivi.
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Comments