Skip to main content

Kikosi maalumu cha polisi chajitayarisha kupelekwa Mogadishu


Na Adnan Hussein, Mogadishu
Serikali ya Somalia inapanga kupeleka kikosi imara cha askari polisi 1,300 mwishoni mwa mwezi wa Mei ili kusaka wanachama wa al-Shabaab Mogadishu yote wakiwa na lengo la kuzuia mashambulizi na mauaji dhidi ya wanaharakati wa amani, vikosi vya usalama na maafisa wa serikali.
Askari wa Kikosi cha Polisi cha Somalia wakitoa saluti tarehe 18 Januari kabla ya kuingia ndani ya ndege kuelekea Djibouti kushiriki katika kozi ya mafunzo ya miezi mitatu. [Na Stuart Price/AU-UN IST/AFP]
"Miongoni ya kazi za kikosi chetu kipya ni kuweka sheria ya kutotoka nje, kuendesha misako, kuzuia mashambulizi, kulinda viongozi wa umma na kulinda [vituo vya polisi katika vitongoji]," Waziri wa Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa wa Somalia Abdikarim Hussein Guled aliiambia Sabahi.
"Askari wake watakuwa tofauti na vikosi vyengine kwa sababu ya sare zao za kipekee, vifaa na magari, pamoja na sababu ya kuwa wao watakuwa wakipokea mafunzo yanayoenelea ndani na nje ya nchi ili kuhakikisha viwango vyao vya ukakamavu."
Kitengo cha polisi maalumu tayari kilishapatsa mafunzo nchini Somalia na nje katika matayarisho ya kuaanza kazi kwao, Guled alisema. Watapelekwa katika magari 120 yaliyopakwa rangi inayozitofautisha na wakiwa na zana zenye redio za kisasa na zana za kutoa tahadhari.
Kitengo hiki ni sehemu ya kampeni ya serikali ya shirikisho ili kuimarisha usalama na operesheni za kupambana na ugaidi mjini Mogadishu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.