Skip to main content

Ethiopian airlines yadhamini Tamasha la Filamu la Kimataifa - Zanzibar International Film Festival (ZIFF) ü Skylight Band Kuburudisha ZIFF


Kampuni ya usafiri wa anga.. Ethiopian airlines imejitokeza kudhamini Tamasha la 16 la filamu Tanzania, ZIFF linalotazamiwa kufanyika Zanzibar, June 29 hadi July 7, 2013. Meneja na Mkurugenzi msaidizi wa Tamasha hilo Daniel Nyalusi maarufu kwa kifupisho cha Dean alisema wanajisikia furaha sana kushirikiana na Kampuni hiyo, na kwamba anatarajia ushirikiano huo utafungua njia kwa makampuni mengine.
Aidha Dean alisema Ethiopian Airlines ndio wamekuwa wadhamini rasmi wa usafirishaji  wa watengenezaji filamu na wageni wote wa ZIFF kimataifa na kuongeza kuwa Tamasha la ZIFF 2013 linatarajiwa kufana zaidi kutokana na maandalizi yake na udhamini huu mkubwa wa Ethiopian Airline.
Pamoja na Ethiopian Airlines kampuni nyingine iliyojitosa kwenye udhamini wa Tamasha hilo ni ZUKU TV, hii itakuwa mara ya pili kampuni hii kushiriki katika kuunga mkono  Tamasha hilo, ambalo kwa miaka 16 iliyopita limesherehekea  kazi za sanaa nchini na kuwezesha uzalishaji wa filamu hapa Tanzania na duniani kote.
Akizungumziaa  ushirikiano huo,  Meneja wa ZIFF, Daniel Nyalusi alisema “ ZUKU inadhamini dola laki moja kila mwaka kwa miaka 10 kuanzia mwaka jana na itaangalia jinsi ya kupanua udhamini wake kadri muda unavyoendelaDean alisema “Tunakaribisha wadhamini wengine kushirikiana na ZIFF na matumaini yetu ni kwamba wadhamini wataweza kufaidika kutokana na ushirikiano huu  kwani ni nguzo ya masoko ya ubunifu kwa ajili ya wawekezaji na wafanyabiashara ambao wana maono kwa ajili ya ukuaji wa uchumi na ajira katika sekta zote, hasa utalii na burudani.  Kwa kazi ya kukuza sekta ya burudani, ZIFF na Makampuni shiriki yatasaidia kujenga ajira kwa watengenezaji wa filamu, wazalishaji na watendaji katika kanda nzima.” Tamasha la ZIFF hupokea wageni zaidi ya 6000 toka nje kila mwaka na zaidi ya watu 45,000 wakati likiendelea Zanzibar.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...