Skip to main content

Ethiopian airlines yadhamini Tamasha la Filamu la Kimataifa - Zanzibar International Film Festival (ZIFF) ü Skylight Band Kuburudisha ZIFF


Kampuni ya usafiri wa anga.. Ethiopian airlines imejitokeza kudhamini Tamasha la 16 la filamu Tanzania, ZIFF linalotazamiwa kufanyika Zanzibar, June 29 hadi July 7, 2013. Meneja na Mkurugenzi msaidizi wa Tamasha hilo Daniel Nyalusi maarufu kwa kifupisho cha Dean alisema wanajisikia furaha sana kushirikiana na Kampuni hiyo, na kwamba anatarajia ushirikiano huo utafungua njia kwa makampuni mengine.
Aidha Dean alisema Ethiopian Airlines ndio wamekuwa wadhamini rasmi wa usafirishaji  wa watengenezaji filamu na wageni wote wa ZIFF kimataifa na kuongeza kuwa Tamasha la ZIFF 2013 linatarajiwa kufana zaidi kutokana na maandalizi yake na udhamini huu mkubwa wa Ethiopian Airline.
Pamoja na Ethiopian Airlines kampuni nyingine iliyojitosa kwenye udhamini wa Tamasha hilo ni ZUKU TV, hii itakuwa mara ya pili kampuni hii kushiriki katika kuunga mkono  Tamasha hilo, ambalo kwa miaka 16 iliyopita limesherehekea  kazi za sanaa nchini na kuwezesha uzalishaji wa filamu hapa Tanzania na duniani kote.
Akizungumziaa  ushirikiano huo,  Meneja wa ZIFF, Daniel Nyalusi alisema “ ZUKU inadhamini dola laki moja kila mwaka kwa miaka 10 kuanzia mwaka jana na itaangalia jinsi ya kupanua udhamini wake kadri muda unavyoendelaDean alisema “Tunakaribisha wadhamini wengine kushirikiana na ZIFF na matumaini yetu ni kwamba wadhamini wataweza kufaidika kutokana na ushirikiano huu  kwani ni nguzo ya masoko ya ubunifu kwa ajili ya wawekezaji na wafanyabiashara ambao wana maono kwa ajili ya ukuaji wa uchumi na ajira katika sekta zote, hasa utalii na burudani.  Kwa kazi ya kukuza sekta ya burudani, ZIFF na Makampuni shiriki yatasaidia kujenga ajira kwa watengenezaji wa filamu, wazalishaji na watendaji katika kanda nzima.” Tamasha la ZIFF hupokea wageni zaidi ya 6000 toka nje kila mwaka na zaidi ya watu 45,000 wakati likiendelea Zanzibar.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...