Skip to main content

Ethiopian airlines yadhamini Tamasha la Filamu la Kimataifa - Zanzibar International Film Festival (ZIFF) ü Skylight Band Kuburudisha ZIFF


Kampuni ya usafiri wa anga.. Ethiopian airlines imejitokeza kudhamini Tamasha la 16 la filamu Tanzania, ZIFF linalotazamiwa kufanyika Zanzibar, June 29 hadi July 7, 2013. Meneja na Mkurugenzi msaidizi wa Tamasha hilo Daniel Nyalusi maarufu kwa kifupisho cha Dean alisema wanajisikia furaha sana kushirikiana na Kampuni hiyo, na kwamba anatarajia ushirikiano huo utafungua njia kwa makampuni mengine.
Aidha Dean alisema Ethiopian Airlines ndio wamekuwa wadhamini rasmi wa usafirishaji  wa watengenezaji filamu na wageni wote wa ZIFF kimataifa na kuongeza kuwa Tamasha la ZIFF 2013 linatarajiwa kufana zaidi kutokana na maandalizi yake na udhamini huu mkubwa wa Ethiopian Airline.
Pamoja na Ethiopian Airlines kampuni nyingine iliyojitosa kwenye udhamini wa Tamasha hilo ni ZUKU TV, hii itakuwa mara ya pili kampuni hii kushiriki katika kuunga mkono  Tamasha hilo, ambalo kwa miaka 16 iliyopita limesherehekea  kazi za sanaa nchini na kuwezesha uzalishaji wa filamu hapa Tanzania na duniani kote.
Akizungumziaa  ushirikiano huo,  Meneja wa ZIFF, Daniel Nyalusi alisema “ ZUKU inadhamini dola laki moja kila mwaka kwa miaka 10 kuanzia mwaka jana na itaangalia jinsi ya kupanua udhamini wake kadri muda unavyoendelaDean alisema “Tunakaribisha wadhamini wengine kushirikiana na ZIFF na matumaini yetu ni kwamba wadhamini wataweza kufaidika kutokana na ushirikiano huu  kwani ni nguzo ya masoko ya ubunifu kwa ajili ya wawekezaji na wafanyabiashara ambao wana maono kwa ajili ya ukuaji wa uchumi na ajira katika sekta zote, hasa utalii na burudani.  Kwa kazi ya kukuza sekta ya burudani, ZIFF na Makampuni shiriki yatasaidia kujenga ajira kwa watengenezaji wa filamu, wazalishaji na watendaji katika kanda nzima.” Tamasha la ZIFF hupokea wageni zaidi ya 6000 toka nje kila mwaka na zaidi ya watu 45,000 wakati likiendelea Zanzibar.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.