Skip to main content

Kukosekana kwa viwango vya elimu kikanda kunazuia ukuaji wa biashara katika Afrika Mashariki




Na Rajab Ramah, Nairobi
Kushindwa kutekeleza mfumo wa elimu ya kawaida yenye sifa zilizowekwa katika kiwango kilichokubalika ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kumezuia mtiririko wa fursa za rasilimali watu na biashara, wadau wasema.
Mhandisi wa Kampuni ya Kuzalisha Umeme ya Kenya akisimamia mifumo katika chumba cha kudhibiti umeme unaozalishwa kutokana na maji ya bwawa. Kwa kuwa na viwango vya elimu vyenye uwiano, wahandisi wangeweza kufanya kazi katika nchi za Afrika Mashariki ambazo zina uhitaji mkubwa. [Tony Karumba/AFP]
"Kila nchi ina viwango tofauti katika kuajiri wafanyakazi kwa sababu ya kutofautiana kwa mfumo wa elimu," alisema Patrick Obath, mjumbe wa Baraza la Biashara la Afrika Mashariki, asasi mama ambayo inawezesha ushiriki wa sekta binafsi katika mchakato wa kujumuisha EAC.
"Jambo hili linazuia uwezo wa kuwepo, mfano, raia wa Uganda kufikiriwa katika kazi nchini Kenya au Tanzania na kinyume chake," aliiambia Sabahi. "Hili linazuia utekelezaji wa itifaki ya soko la pamoja."
EAC, makao makuu yako Arusha, Tanzania, ni asasi baina ya serikali ambayo inadhamiria kupanua ujumuishaji wa kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni baina ya Burundi, Kenya, Rwanda, Tanzania na Uganda.
Obath alisema kushindwa kurahisisha fursa za ajira nje ya mipaka kumefanya mchakato wa ujumuishaji wa EAC na ushindani wa kikanda kwa ujumla kwenda taratibu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.