Skip to main content

Watu 91 wauwawa kwa kimbunga 20 wakiwa watoto wa shule nchini Marekani


Horror: Teachers carry children away from Briarwood Elementary school after a tornado destroyed the school in south Oklahoma City
Walimu waliojitolea kubeba mtoto katika shule BRIARWOOD Elementary baada ya kuathirika vibaya kwa kimbunga kilichoharibu shule ya kusini mwa Oklahoma City. (Photo.dailymail.co.uk)
Kimbunga kikubwa cha Tornado kimeukumba mji wa Oklahoma mapema leo Jumatatu na kubomoa vitalu vya nyumba, shule mbili na kuua takribani watu 91 ikiwa ni pamoja na watoto 20, viongozi wa mitaa wamearifu.
Rais Obama amesikitishwa na tukio hilo na kuliita janga kubwa ambapo Kikosi cha uokozi kimeendelea na jitihada za kutafuta manusura katika mabaki ya majengo.
Fear: A child calls to his father after being pulled from the rubble of the Tower Plaza Elementary School    Brave: A boy is pulled from beneath a collapsed wall at the Plaza Towers Elementary School following a tornado in Moore, Oklahoma
Waokuaji  wakiendelea kuogoa baadhi ya watotho waliokumbwa vibaya kwa kimbunga katika Shule Plaza Towers Elementary kufuatia kimbunga kilichoathiri vibaya huko Moore, Oklahoma. (Photo.dailymail.co.uk)
Ofisi ya mtabibu wa serikali imetoa taarifa ya karibuni kuhusu idadi ya waliopoteza maisha lakini idadi hiyo inaongezeka kwa kasi, wakati kikosi cha huduma ya dharura wamesafisha mabaki yote ya nyumba zilizobomolewa pamoja na shule katika kitongoji cha Moore mjini Oklahoma.
Watabiri wa hali ya hewa wamearifu kuhusu uwepo wa upepo mkali wa maili mbili, na helikopta ya habari za televisheni imenasa faneli zito likipita katika vitongoji kadhaa.
Gavana wa Oklahoma Mary Fallin ameviambia vyombo vya habari kuwa kimbunga hicho ni kikubwa zaidi kuwahi kutokea katika eneo hilo akiongeza kuwa majeruhi ni wengi na uharibifu mkubwa wa miundo mbinu umefanyika.
Naye mkuu wa polisi katika kitongoji cha Moore Jerry Sillings amewataka wakazi wa kuondoka katika eneo hilo wakati masuala kadhaa ya kiusalama yakifanyika.

Survivors: A child is pulled from the rubble of the Plaza Towers Elementary School in Moore, Oklahoma, and passed along to rescuers
Waathirika: Uendelezaji uwokoaji wa watoto katika Shule ya Plaza Towers Elementary huko Oklahoma (Photo.dailymail.co.uk)

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...