Skip to main content

Kenya kufufua askari wa akiba Garissa ili kupambana na al-Shabaab


Na Bosire Boniface, Garissa
Serikali ya Kenya inapanga kufufua askari wa akiba wa Kenya (KPR), programu ya kutoa mafunzo na kuwezesha vikosi vya raia, kusaidia kupambana na wanamgambo wa al-Shabaab kutoka ndani ya jamii huko Garissa.
Askari wa Kenya akiangalia mkutano wa hadhara wa chama cha Harakati za Demokrasia ya Njano huko Garissa tarehe 22 Februari. Askari polisi wa akiba ambao ni raia wenye silaha hivi karibuni watasaidia kulinda amani katika mji huo, wakilinda dhidi ya vitisho kutoka kwa al-Shabaab. [Will Boase/AFP]
Garissa imekuwa mahali pa mashambulio makubwa ya al-Shabaab nchini Kenya baada ya vikosi vya ulinzi vya Kenya kupeleka vikosi Somalia Oktoba 2011.
Iliongozwa na Inspekta Jenarali David Kimaiyo na Katibu Mkuu wa Usalama wa Ndani Mutea Iringo, Kamati ya Ushauri ya Taifa imekuwa ikichunguza mfululizo wa mashambulio kama hayo mwezi Aprili. Wakati wa mkutano wa tarehe 20 Aprili, kamati ilipendekeza kushirikisha raia katika mji wa Garissa kwa ajili ya operesheni za kigaidi.
KPR iliundwa mwaka 1948 kusaidia polisi kudumisha sheria na kanuni nchini Kenya kote.
Mwaka 2004, aliyekuwa kamishina wa polisi Meja Jenerali Mohammed Hussein Ali alivunja na kunyang'anya silaha KPR katika maeneo ya miji ya Kenya baada ya maofisa wake kuhusishwa na uhalifu wa kutumia nguvu na rushwa. Hata hivyo, aliendeleza jeshi hilo katika maeneo ya vijijini, kupambana na wizi wa ng'ombe na ujambazi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.