Skip to main content

Jukwaa la Katiba Ruksa kwenda Mahakamani. Jaji Warioba





Na Mwandishi Wetu
Tume ya Mabadiliko ya Katiba imesema haimzuii mwananchi, asasi au taasisi yoyote kufungua kesi Mahakamani kupinga au kuzuia mchakato unaoendelea wa Katiba Mpya.
Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba ametoa ufafanuzi huo kwa baadhi ya waandishi wa habari waliofika ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo (Jumatano, Mei 15, 2013) kutaka ufafanuzi wa masuala mbalimbali yaliyotolewa na Jukwaa la Katiba jijini Dar es Salaam jana (Jumanne, Mei 14, 2013).
Katika tamko lake, Jukwaa la Katiba lilieleza nia ya asasi yake kufungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania ndani ya siku saba ili kusimamisha mchakato wa katiba Mpya kutokana kile ilichodai ni kasoro zinazojitokeza katika mchakato wa katiba unaoendelea.
Ruksa kwenda Mahakamani
Hata hivyo, akiongea na baadhi ya waandishi wa habari waliofika leo ofisini kwake leo, Jaji Warioba alisema Tume yake haina tatizo na mtu au asasi kwenda Mahakamani kwa kuwa hiyo ni haki yao ya kikatiba.
“Nimesoma tamko lao na niseme tu halina jipya. Hii si mara ya kwanza kusikia hili (la kwenda Mahakamani), na jibu letu lilikuwa waende na ndio jibu letu hadi sasa,” alisema Jaji Warioba anayeongoza Tume hiyo iliyoanza kazi Mei 2 mwaka jana.
“Mimi nasema waende ili tujue Jukwaa haswa ni nani, kwa sababu ninafahamu ni mkusanyiko wa asasi mbalimbali na baadhi ya asasi hizohizo zimetuletea maombi ya kuunda Mabaraza ya Katiba ya Taasisi na Asasi… sasa jukwaa hili ni nani haswa?,” alisema Jaji Warioba.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...