Skip to main content

FLORA sHOW YAJA KUWASHIKA!!




WADAU wa  urembo nchini ususani Kanda ya Ziwa Victoria
wanatarajiwa kuneemeka kufuatia kuonekana kwa kazi zao kupitia kipindi
kipya kwenye luninga ya Star TV .

Mwanadada Flora Lawo  ameamua kumulika sanaa hiyo
kwa kuanzisha kipindi kitakacho itwa Flora Show katika kukuza
sanaa ya Urembo .

"Kunamambo mengi ya kukuza urembo kama moja wapo ya
ajira hivyo hii itakuwa fursa tosha kwa namna moja ama
nyingine kwa wadau wa mambo ya Urembo na Utamaduni,'alisema
Flora.










Alisema kipindi hicho kitaanza kurindima rasmi    May  29  kupitia
luninga hiyo ya  Star TV, ambapo uzinduzi wa kipindi hicho utazinduliwa pia
Mwanza Hotel jijini humo katika siku hiyo ya May 29.

Wadau mbali mbali  kutoka makampuni mbali mbali wanakaribishwa
kuudhulia uzinduzi wa kipindi hicho, kwani kufika kwao  katika mchakato huo
kutaonesha kutoa sapoti katika kuutambua Urembo na Utanashati.




Pia kwa mujibu wa Emmanuel Shayo ambaye ni muhusika katika upande wa
Production amesema kuwa kipindi hicho kitakuwa bomba kutokana na hali
ya yeye kuwa ni mwenye uzoefu mkubwa katika masuala ya Production.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.