Skip to main content

Wasome hapa Loveness Diva na Huddah Monroe (Kenya)


Mtangazaji wa Radio ya watu, Clouds fm, Diva Loveness Love amejikuta akiingia kwenye vita kubwa na Model (Thee Boss Lady) Huddah Monroe kisa tuu ni mshiriki wa Big Brother, Prezzo. Mtiti ulianza pale Diva alipoanza ghafla kutweet hisia zake juu ya Prezzo.

Akidai she's so inlove, kitu ambacho kiliwaacha wengi mdomo wazi kutokana na kuwa open kupitiliza (unaweza ukadhani alikua anatania au anaforce mambo). Tweets za mwanadadiva huyo zilizidi kuwashangaza watu baada ya kusisitiza mara kwa mara kwamba anamuacha boyfriend wake kisa Prezzo.

Comments