Skip to main content

Diwani wa CHADEMA kata ya Mungaa jimbo la Singida Mashariki, afikishwa mahakamani.


DSC01237
Mwenyekiti wa CCM kijiji cha Minyinga kata ya Mungaa jimbo la Singida mashariki, John Theodore Ghumpi (wa kwaza kushoto) akimhoji mbunge Tundu Lissu, ni kwa nini anatetea wahalifu ambao amedai wamejichukulia sheria mkononi kwa kukata kata ng’ombe zake sita.Ghumpi ni mume wa Mary John.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu

Mbunge wa jimbo la Singida mashariki kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, amepata wakati mgumu baada mmoja wa wapiga kura wake kumtaka amweleze ni kwa nini amekuwa akijikita kutetea wahalifu wa wazi wazi.
DSC01222
Diwani wa CHADEMA kata ya Mungaa jimbo la Singida Mashariki, Matheo Alex (wa pili kushoto aliyenyanyua mkono juu) akiwa katika chumba cha mahakama ya hakimu mkazi mjini Singida akisubiri kusomewa shitaka lake la kukata kata ng’ombe sita mali ya Mary John mkazi wa kijiji cha Minyinga kata ya Mungaa.Wa pili kulia ni mtoto wa diwani Alex, Faraja na wa pili kushoto Bahati Sumbe (mwenye jacketi la njano) wameunganishwa kwenye kesi moja na diwani Alex.
Mkazi wa jimbo la Singida mashariki, John Theodore Ghumpi alimbana vilivyo Tundu ambaye ni mwanasheria maarufu, muda mfupi baada ya kusimamia kesi ya diwani wa CHADEMA kata ya Mungaa Matheo Alex na wenzake wawili wanaotuhumiwa kukata kata ng’ombe sita kwa shoka mali ya Ghumpi.
“Kwa kifupi mimi sina ugomvi wo wote na CHADEMA wala na wewe Tundu, wewe licha ya kuwa ni ndugu wa ukoo, wewe ni mbunge wangu pia. Sasa unapojikita kubariki uhalifu kama huu wa kukata kata ng’ombe wangu,kwangu mimi unanipa wakati mgumu mno kukuelewa”,amesema Ghumpi.
Hata hivyo,Tundu alisema kuwa washitakiwa na walalamikaji katika kesi ya kukata kata ng’ombe sita,wote ni wapiga kuwara wake na wananchi wake wa jimbo la Singida mashariki,na hivyo ana wajibu wa kuwatumikia kwa usawa.
Kutokana na kibano hicho,wakili anayewatetea washitakiwa hao watatu, Tundu Lissu,alilazimika kufuatana na Ghumpi kwenda kijiji cha Minyinga kuangalia ng’ombe wanaodaiwa kukatwa katwa na wateja wake akina Matheo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...