Skip to main content

Saudi Arabia yatoa msaada wa dola milioni 24 kwa Somalia


Na Abdi Said, Mogadishu
Kampeni ya Kitaifa ya Saudia kwa Kuwasaidia Watu wa Somalia imeahidi kutoa mfuko wa msaada wa kina wenye thamani ya dola milioni 24 kwa miradi ya ujenzi mpya nchini Somalia, kwa mujibu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), ambao unasaidia kuratibu fedha hizo.
Mwanamke wa Somalia akitembea karibu na kambi ya watu wa ndani waliokimbia makazi yao mjini Mogadishu tarehe 3 Mei. Sehemu ya msaada wa Saudia ulioahidiwa Somalia utatumiwa kuwapa makazi watu waliokimbia makazi yao. [Na Tobin Jones/AU-UN IST/AFP]
Msaada huo utakwenda kwa mikoa yote ya Somalia na utaelekezwa katika sekta za elimu, afya, kilimo pamoja na kuwarekebisha watu waliokimbia makazi yao na katika hali zote za ustawi wa jamii, OIC ilisema katika taarifa hapo tarehe 12 Mei.
Wigo wa mfuko wa misaada na ushirikishwaji wa asasi zisizokuwa za kiserikali, wazee wa kikabila, tawala za mikoa na serikali ya shirikisho katika kuamua miradi gani ya kutekeleza inaashiria mtindo mpya wa utoaji misaada nchini Somalia.
Lengo la msaada huu ni kukuza ujenzi mpya wa Somalia kupitia miradi kadhaa inayoungwa mkono na Saudia, ambayo itaanza katikati ya mwezi wa Juni, alisema Mohamed Idle Sabrie, naibu msimamizi wa ofisi ya OIC mjini Mogadishu.
Kiasi cha watu 500,000 watafaidika na msaada wa fedha, ambao utakamilika ndani ya miezi 18. Awamu ya kwanza itazingatia miradi ya mjini Mogadishu, Sabrie alisema.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...