Na Gladness Mushi wa Fullshangwe-Arusha
Wadau wa utalii kutoka halmashauri ya Wilaya ya Longido wamekutana leo hii katika mkutano wa Siku Mbili wenye lengo kuu la kuthamini na kutambua mchango wa Rasilamali zinazo wazunguka wafugaji wa halimashauri hiyo katika kujiletea uchumi kwa njia nyingine tofauti na ile iliyozoeleka.
Mkutano huo wa Wadau hao wa Utalii kutokandani ya Halimashauri ya Wilaya ya Longido ambao ulifunguliwa na Afisa wa Mazingira ya Ikolojia kutoka
Comments