Skip to main content

"Kenya itazidi kutaendelea kulinda uhuru wa wanahabari" - Uhuru Kenyatta


Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ameahidi kuwa, serikali yake itaendelea kuheshimu na kulinda uhuru wa wanahabari pamoja na vyombo vya habari nchini humo. 
Akizungumza leo wakati wa kufungua rasmi mkutano wa kimataifa wa waandishi wa habari mjini Nairobi, Rais Kenyatta amesema sekta ya uandishi habari ni kiungo muhimu katika jamii na kwa mantiki hiyo amevitaka vyombo vya habari kuwajibika zaidi kwa manufaa ya Wakenya. 
Rais wa Kenya aidha ameonya vyombo vya habari ambavyo hutumiwa na wanasiasa kuchochea fujo na machafuko kwamba serikali yake haitasita kuvichukulia hatua kali za kisheria. 
Ametoa mfano wa mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 ambayo yalichochewa zaidi na vyombo vya habari na kusema serikali haitowavumilia wenye nia ya kuivuruga nchi. 
Mkutano huo wa kimataifa unawashirikisha wanahabari kutoka nchi mbalimbali duniani na unatarajiwa kumalizika hapo kesho wakati dunia itakuwa inaadhimisha siku ya kimataifa ya kutetea uhuru wa wanahabari.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...