Skip to main content

Urusi: Lazima nchi ya Iran ijumuishwe kwenye mazungumzo ya amani nchini Syria


Na Emmanuel Richard Makundi
Nchi ya Urusi imesema ni lazima Serikali ya Iran ihusishwe kwenye mazungumzo ya kusaka aamani ya Syria kama kiungo muhimu na mshirika wa karibu wa utawala wa rais Bashar al-Assad.
John Kerry and  Sergei Lavrov  in Moscow
Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani, John Kerry (kushoto) akiteta na mwenzake wa Urusi, Sergei Lavrov (kulia) Photograph: Sergei Ilnitsky/EPA
Kauli ya Urusi inamaanisha kupuuzilia mbali maombi ya baadhi ya mataifa ya magharibi ambayo yametaka kujumuishwa kwenye mkutano wa kimataifa wa mjini Geneva, mkutano unaolenga kusaka amani ya kudumu nchini Syria.
Lakini kauli ya sasa ya Urusi kutaka nchi ya Iran nayo iingie kwenye mazungumzo ya kusaidia kupatikana kwa amani ya kudumu nchini Syria imekosolewa na nchi za magharibi ambazo zinaiona Iran kama mfadhili mkuu wa silaha kwa wapiganaji wa Hezbollah wanaousaidia utawala wa Assad.
Hapo jana waziri wa mambo ya kigeni wa Urusi Sergei Lavrov amesisitiza nchi yake kutuma silaha zaidi za kijeshi kwa utawala wa Syria, silaha ambazo ni maalumu kwaajili ya kulinda anga la nchi hiyo.
Mpango huo wa Syria tayari umeibusha mgawanyiko kati yake na washirika wanaotaka amani nchini Syria ambapo wamekosoa hatua hiyo wakisema inalenga kuuimarisha utawala wa rais Assad.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.