Skip to main content

Bayern Munich yanyakua ubingwa wa Champions League




Baada ya kushinda ubingwa wa ligi ya Ujerumani, Bundesliga, kabla ya ligi hiyo kufikia mwisho na kuweka rekodi ya aina yake ya pointi, sasa Bayern Munich imetia kibindoni taji lake la tano la ubingwa wa Ulaya.
epa03717378 Bayern Munich FC team players celebrate their trophy after the UEFA Champions League final between Borussia Dortmund and Bayern Munich at Wembley Stadium in London, Britain, 25 May 2013. EPA/KERIM OKTEN +++(c) dpa - Bildfunk+++
Ni Arjen Robben ndiye aliyepachika bao la ushindi katika dakika ya 89 na kuipatia Bayern Munich ushindi muhimu dhidi ya mahasimu wao Borussia Dortmund jana Jumamosi (25.05.2013), baada ya mchezo wa kuvutia wa fainali ya ChampionsLeague katika uwanja wa Wembley mjini London.
Wakati muda wa nyongeza ukipiga hodi, Robben alipokea pasi ya kisigino kutoka kwa Frank Ribery, akamkwepa Mats Hummels na kuuweka mpira wavuni akimwacha Roman Weidenfeller bila majibu na kuipatia Bayern Munich taji lake la tano la mabingwa wa Ulaya.
Ulikuwa muda uliokuwa unasubiriwa mno kwa Bayern na Robben baada ya kushindwa kulitwaa taji hilo katika fainali za mwaka 2010 na 2012, wakati walipobwagwa kwa mikwaju ya penalti dhidi ya Chelsea London katika uwanja wake wa nyumbani.
"Kipindi changu chote cha kucheza soka kilipita katika mawazo yangu wakati nilipopachika bao hilo. Ni hali ya kipekee kabisa unayoweza kuihisi, huwezi kuielezea," Robben amesema.
Heynckes amwagiwa sifa
Kocha wa Bayern Munich, Jupp Heynckes, akifurahia ushindi.
Kocha wa Bayern Munich, Jupp Heynckes, akifurahia ushindi.
Lakini zaidi ni kocha wa Bayern Munich, Jupp Heynckes, ambaye alimiminiwa sifa tele baada ya timu yake kunyakua taji hilo. Rais wa klabu hiyo, Uli Hoeness, alimwagia sifa Heynckes mwenye umri wa miaka 68 ambaye anaweza kushinda mataji matatu na Bayern mwishoni mwa juma lijalo iwapo timu hiyo itaishinda VFB Stuttgart katika fainali ya Kombe la Shirikisho, DFB Pokal.
"Nimefurahi kwamba klabu hii sasa iko juu kabisa katika Ulaya," Hoeness amesema.
"Jupp amefanya kazi nzuri sana. Kuiweka timu hii na nyota wake wote katika hali sahihi na kuifanya kuendelea kufanya vizuri katika kiwango cha juu kabisa ni mkono wa Jupp Heynckes."
Mchezaji wa kiungo wa Bayern Munich, Bastian Schweinsteiger, amesema: "Tumekuwa na msimu mzuri sana na Heynckes ana sehemu kubwa katika mafanikio hayo. Anakwenda na wakati na anaongoza akiwa mbele."

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...