Skip to main content

Kesi ya ulipuaji bomu iliyoteguliwa yaweka uhusiano baina ya Kenya na Iran mashakani


Na Julius Kithuure, Nairobi
Tangu mahakama ya Kenya ilipotoa hukumu kwa raia wawili wa Iran kwenda jela kifungo cha maisha kutokana na mashtaka yanayohusiana na ugaidi mapema mwezi huu, hali ya baadaye ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya Nairobi na Tehran imekuwa wa mashaka, kukiwa na uwezekano wa kurudisha nyuma matumaini ya Iran ya kupanua shughuli na uwepo wake kisiasa nchini Kenya kwa miaka ijayo.
Sayed Mansour (katikati) na Ahmad Mohammed (kulia), wote wawili ambao ni raia wa Iran, wanafungwa pingu mara tu baada ya kuhukumiwa kifungo cha maisha jela hapo tarehe 6 Mei kutokana na mashtaka yanayohusiana na ugaidi, ikiwa ni pamoja na kumiliki iliyodaiwa kuwa milipuko kwa ajili ya kutumia katika mashambulio ya bomu. [Simon Maina/AFP]
Mgogoro huo wa kidiplomaisa ulitokana na shambulio la ugaidi lililoteguliwa nchini Kenya ambalo lililotolewa hukumu na mahakama ambalo lilikuwa limepangwa na Ahmed Mohammed, mwenye umri wa miaka 50, na Sayed Mansour, mwenye umri wa miaka 51, wote wawili raia wa Iran. 
Wanaume hao wawili walikamatwa mwezi Juni mwaka uliopita nje ya Laico Regency, hoteli yenye nyota tano inayomilikiwa na Mlibiya katikati ya Nairobi, siku nane baada uchunguzi mkubwa uliofanywa na Kitengo cha Polisi Kinachopambana na Ugaidi.
Tarehe 2 Mei, walitiwa hatiani kwa kumiliki kilogramu 15 za milipuko yenye nguvu ya RDX, ambayo polisi waligundua kufukiwa kwenye uwanja wa gofu. Mahakama ya Nairobi ilisema Mohammed na Mansour walishukiwa kuhusika na ulipuaji bomu uliopangwa na mtandao wa kigaidi huko Mombasa na Nairobi. Wanaume wote hao wawili walikana mashtaka hayo.
Lakini polisi wa Kenya walitetea uamuzi wao wa kuwakamata na kuwafungulia mashtaka Wairani hao wawili.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...