Skip to main content

Kesi ya ulipuaji bomu iliyoteguliwa yaweka uhusiano baina ya Kenya na Iran mashakani


Na Julius Kithuure, Nairobi
Tangu mahakama ya Kenya ilipotoa hukumu kwa raia wawili wa Iran kwenda jela kifungo cha maisha kutokana na mashtaka yanayohusiana na ugaidi mapema mwezi huu, hali ya baadaye ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya Nairobi na Tehran imekuwa wa mashaka, kukiwa na uwezekano wa kurudisha nyuma matumaini ya Iran ya kupanua shughuli na uwepo wake kisiasa nchini Kenya kwa miaka ijayo.
Sayed Mansour (katikati) na Ahmad Mohammed (kulia), wote wawili ambao ni raia wa Iran, wanafungwa pingu mara tu baada ya kuhukumiwa kifungo cha maisha jela hapo tarehe 6 Mei kutokana na mashtaka yanayohusiana na ugaidi, ikiwa ni pamoja na kumiliki iliyodaiwa kuwa milipuko kwa ajili ya kutumia katika mashambulio ya bomu. [Simon Maina/AFP]
Mgogoro huo wa kidiplomaisa ulitokana na shambulio la ugaidi lililoteguliwa nchini Kenya ambalo lililotolewa hukumu na mahakama ambalo lilikuwa limepangwa na Ahmed Mohammed, mwenye umri wa miaka 50, na Sayed Mansour, mwenye umri wa miaka 51, wote wawili raia wa Iran. 
Wanaume hao wawili walikamatwa mwezi Juni mwaka uliopita nje ya Laico Regency, hoteli yenye nyota tano inayomilikiwa na Mlibiya katikati ya Nairobi, siku nane baada uchunguzi mkubwa uliofanywa na Kitengo cha Polisi Kinachopambana na Ugaidi.
Tarehe 2 Mei, walitiwa hatiani kwa kumiliki kilogramu 15 za milipuko yenye nguvu ya RDX, ambayo polisi waligundua kufukiwa kwenye uwanja wa gofu. Mahakama ya Nairobi ilisema Mohammed na Mansour walishukiwa kuhusika na ulipuaji bomu uliopangwa na mtandao wa kigaidi huko Mombasa na Nairobi. Wanaume wote hao wawili walikana mashtaka hayo.
Lakini polisi wa Kenya walitetea uamuzi wao wa kuwakamata na kuwafungulia mashtaka Wairani hao wawili.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...