Skip to main content

Wahisani waahidi Dola milioni 600 kusaidia vita vinavyoendelea Kaskazini mwa Mali kukabiliana na magaidi


Mkutano wa Kimataifa uliowaleta pamoja Viongozi wa nchi za Afrika na Maofisa wa Kimataifa umefanikiwa kukusanya jumla ya dola milioni 600 kwa ajili kusaidia vita vinavyoendelea Kaskazini mwa Mali.
Wanajeshi wa Ufaransa wakiwa katika Mji wa Timbuktu baada ya kuuchukua kutoka kwa Makundi ya Kiislam. REUTERS/Arnaud Roine/ECPAD/Handout
Wafadhili mbalimbali wamechangia fedha kwa ajili ya kuendeleza vita iliyopewa jina Vita ya Kupambana na Ugaidi Kaskazini mwa Mali lengo likiwa ni kuyasambaratisha Makundi ya Kiislam yaliyokuwa yanatawala kwa miezi zaidi ya tisa.
Mkutano huo umefanyika nchini Ethiopia ambapo mataifa hayo yameahidi pia kuchangia kijeshi ili kufanikisha kukabiliana na vitendo vya kigaidi ambavyo vyanzo vyake vimekuwa vikitanjwa kuwa nchini Mali.
Japan imechangia dola milioni 120 huku Marekani ikitoa kitita cha dola milioni 96 kati ya dola milioni 600 ambazo zimeahidiwa kutoka kwa nchi ambazo zimehudhuria mkutano huo maalum wa kuchangisha fedha.
Mkutano huo umehudhuriwa na Wawakilishi kutoka Umoja wa Mataifa UN, Umoja wa Ulaya EU na China ambao wote wameahidi kutoa fedha kwa ajili ya kusaidia operesheni hiyo ya kijeshi.
Rais wa Mali Dioncounda Traore ameishukuru Jumuiya ya Kimataifa kwa mchango ambao wameutoa kwa nchi hiyo katika na kuahidi watakuwa tayari kutoa ushirikiano wa hali na mali.
Umoja wa Afrika AU umeahidi kutoa dola milioni 50 kusaidia operesheni hiyo ya kijeshi huko Kaskazini mwa Mali ambayo imekadiriwa kugharimu dola milioni 460 ili iweze kukamilika.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.