Skip to main content

Dakika ya Mwisho Inamasimulizi ya Ukweli

Monalisa si Waleo si wakesho

MSANII mkongwe katika tasnia ya
filamu nchini Yvone Cheryl Monalisa
ametajwa kuwa ni miongoni mwa wasanii
watakao dumu kwa muda mrefu katika
tasnia ya filamu kutokana na wezo
walionao.

Hayo yamebainishwa baada ya Monalisa 
kuonekana  kwa mara nyingine ndani ya
filamu inayokwenda kwa jina la Dakika
ya Mwisho.

Filamu hiyo inazungumzia kijana Masumbuko
na Shida  kama watoto wa mtaani wanaoteseka
na mazingira ya shida na hatarishi.

Kama ilivyo kwa watoto wa mtaani , kwa kuishi
na kuomba pamoja Masumbuko(Mkamba)na Shida (Monalisa)wanajikuta wanapendana na kuoana
na kuwa Mme na Mke.

Wakiwa katika ndoa Shida anapata tatizo la ugonjwa
wa tumbo , jambo linaloitaji kufanyiwa upasuaji
wa haraka .Lakini tatizo hali zaokiuchumibado ni mbaya.

Masumbuko anaangaika kutafuta kiasi cha fedha
alicho agizwa na Dokta ilikunusulu maisha ya
Mke.

lakini akiwa anakabiliwa na mtihani wa kuokoa
maisha ya mkewe , Masumbuko anaingia katika
janga la kufukuzwa kazi hali inayozidi kumcha
nganya kiakili.

Ni bonge la muvi lililojaa majonzi , simanzi
na masikitiko inayosambazwa na Kampuni ya Pili
Pilipili Entertainment.

Washiriki katika filamu hiyo ni Yvonne Chaerry
'Monalisa', na Kheri Mkamba,Zuberi Mohamedi 'Niva'
Mussa Mshana na Odama.

Ilikujua filamu ipi imengia sokoni ama ip inarajajia kutinga sokoni tembelea  www.pilipilimoviehouse.blogspot.com.


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.