Skip to main content

SIMBA YAMUUZA OKWI KWA MIL 480/-


KLABU ya Simba imemuuza mshambuliaji wake Emmanuel Okwi kwa klabu ya Etoile Du Sahel ya Tunisia kwa kitita cha dola 300,000 (sawa na sh. milioni 480 za Tanzania).

Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange 'Kaburu' alisema kwa njia ya simu jana kutoka Oman kuwa, Okwi ametia saini mkataba wa kuichezea klabu hiyo kwa miaka miwili.

Kwa mujibu wa Kaburu, Okwi alitia saini mkataba huo jana jioni baada ya kufanya mazungumzo binafsi na viongozi wa klabu hiyo.

Kaburu alisema Etoile Du Sahel imeshakamilisha taratibu zote za kumsajili mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Uganda, ikiwa ni pamoja na kumalizana na Simba.

Makamu Mwenyekiti huyo wa Simba alisema, viongozi wa klabu hiyo ya Tunisia wameamua kumsajili Okwi baada ya kuvutiwa na kiwango chake katika mechi mbalimbali walizomshuhudia akiicheza Simba.

Alisema hafla ya utiaji saini mkataba huo kati ya Okwi na viongozi wa Etoile Du Sahel, ilishuhudiwa na Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage.

Kaburu alisema Etoile Du Sahel iliwasilisha maombi ya kumsajili Okwi kwa klabu ya Simba mapema mwezi huu kabla ya kumruhusu kwenda kufanya majaribio.

Okwi alijiunga na Simba miaka minne iliyopita akitokea SC Villa ya Uganda na kuiwezesha kufanya vizuri katika michuano ya ligi na ya kimataifa.

Mwishoni mwa mwaka jana, Simba iliamua kumuongezea mkataba wa miaka miwili mshambuliaji huyo baada ya kuwepo na taarifa kwamba, alikuwa akiwaniwa na klabu za Yanga na Azam.

Okwi alitia saini mkataba huo wakati wa michuano ya Kombe la Chalenji, iliyofanyika nchini Uganda, lakini haikuweza kufahamika kitita cha pesa alicholipwa, zaidi ya kuongezewa mshahara kutoka sh. milioni 1.5 hadi sh. milioni tatu kwa mwezi.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...