Skip to main content

Jonathan: Kundi la Boko Haram ni tishio kwa usalama wa mataifa ya bara la Afrika si Nigeria pekee


Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan akizungumza kwenye mkutano wa Davos
Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan akizungumza kwenye
mkutano wa Davos
Na Emmanuel Richard Makundi
Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ametamka wazi wazi ya kwamba Kundi la Waislam wenye Msimamo Mkali la Boko Haram ni kitisho kikubwa cha Usalama katika mataifa mengine ya Afrika na si Taifa lake pekee.
Kiongozi huyo wa Nigeria amekiri vitendo ambavyo vinafanywa na Kundi la Boko Haram vinadhihirisha waziwazi ya kwamba ni kitisho kwa Wanageria lakini pia kwa mataifa mengine ya Afrika.
Rais Jonathan amesema eneo la Magharibi mwa Afrika ndilo linaweza likakabiliwa zaidi na kitisho hicho kutoka kwa Boko Haram kutokana na kuwa na wapiganaji wanaoongoza mauaji ya kujitoa mhanga.
Jonathan ameweka wazi wamekuwa wakipata taarifa Viongozi wa Boko Haram wamekuwa wakisafiri na kukutana na Viongozi wa Juu wa Mtandao wa Al Qaeda Duniani wanaowapatia msaada wa kuendelea na harakati zao.
Boko Haram ni kundi linaloshinikiza serikali ya Nigeria iweze kutambua utawala wa sharia na kupingana kabisa na mwenendo wa sasa wanaodai umegubikwa na itikadi za Mataifa ya magharibi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.