Skip to main content

Jonathan: Kundi la Boko Haram ni tishio kwa usalama wa mataifa ya bara la Afrika si Nigeria pekee


Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan akizungumza kwenye mkutano wa Davos
Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan akizungumza kwenye
mkutano wa Davos
Na Emmanuel Richard Makundi
Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ametamka wazi wazi ya kwamba Kundi la Waislam wenye Msimamo Mkali la Boko Haram ni kitisho kikubwa cha Usalama katika mataifa mengine ya Afrika na si Taifa lake pekee.
Kiongozi huyo wa Nigeria amekiri vitendo ambavyo vinafanywa na Kundi la Boko Haram vinadhihirisha waziwazi ya kwamba ni kitisho kwa Wanageria lakini pia kwa mataifa mengine ya Afrika.
Rais Jonathan amesema eneo la Magharibi mwa Afrika ndilo linaweza likakabiliwa zaidi na kitisho hicho kutoka kwa Boko Haram kutokana na kuwa na wapiganaji wanaoongoza mauaji ya kujitoa mhanga.
Jonathan ameweka wazi wamekuwa wakipata taarifa Viongozi wa Boko Haram wamekuwa wakisafiri na kukutana na Viongozi wa Juu wa Mtandao wa Al Qaeda Duniani wanaowapatia msaada wa kuendelea na harakati zao.
Boko Haram ni kundi linaloshinikiza serikali ya Nigeria iweze kutambua utawala wa sharia na kupingana kabisa na mwenendo wa sasa wanaodai umegubikwa na itikadi za Mataifa ya magharibi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...