Skip to main content

SUNZU MAJARIBIONI READING


LONDON, England BEKI wa kati wa kimataifa wa Zambia, Stopilla Sunzu yuko nchini England ambako anafanyiwa majaribio ya kucheza soka ya kulipwa katika klabu ya Reading.

Sunzu (23) kwa sasa anaichezea klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na anatarajiwa kuichezea Zambia katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zinazotarajiwa kuanza Jumamosi nchini Afrika Kusini.

Beki huyo wa kimataifa wa Zambia, anatarajiwa kutumia wiki moja kufanyiwa majaribio na Reading kabla ya kurejea kwenye kikosi cha Zambia.

Mabingwa watetezi Zambia wamepangwa kuanza michuano hiyo kwa kumenyana na Ethiopia. Taarifa iliyotolewa na tovuti ya Reading juzi ilisema kuwa, Sunzu alipewa ruhusa na Chama cha Soka cha Zambia pamoja na TP Mazembe ya kuondoka kwa muda kwenye kikosi cha timu ya taifa ya nchi hiyo ili kufanya mazoezi na Reading na kupimwa uwezo na makocha wa timu hiyo.

"Stoppila atajiunga tena kwenye kikosi cha Zambia baadaye wiki hii, kabla ya kucheza mechi yao ya kwanza ya fainali za Mataifa ya Afrika Jumatatu ijayo," ilieleza taarifa hiyo.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, licha ya kuichezea TP Mazembe ya DRC, Sunzu anafahamika vyema na Kocha Mkuu wa Reading, Brian McDermott kutokana na kuwepo kwenye kikosi cha vijana cha timu hiyo alipokuwa mdogo.

Reading ilisema kupitia taarifa hiyo kuwa, Sunzu atafanyiwa majaribio kwa siku nne ili makocha waweze kuona uwezo wake kabla ya kuamua kumsajili kwenye dirisha dogo.

Sunzu ni miongoni mwa wachezaji walioteuliwa kuwania tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika mwaka jana.

Beki huyo ndiye aliyeifungia Zambia penalti ya mwisho katika mechi ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka jana na kuibuka na ushindi wa penalti 8-7 dhidi ya Ivory Coast.

Mbali na Sunzu, tayari Reading imeshamsajili beki Stephen Kelly kutoka Fulham, kiungo Hope Akpan kutoka Crawley na Daniel Carrico kutoka Sporting Lisbon ya Ureno wakati wa dirisha dogo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...