Skip to main content

Serikali ya Somalia Kufanya Mfumo wa mishahara kuwa wa kisasa



Na Adnan Hussein, Mogadishu
Serikali ya Somalia itaanzisha mpango mpya hapo Aprili wa kuwalipa waajiriwa wake kupitia mfumo wa automatiki unaodhibitiwa na Benki Kuu ya Somalia.
Mfumo mpya katika mwezi wa Aprili utaanza kutumiwa kuwalipa waajiriwa wa serikali, ikiwa ni pamoja na wajumbe hawa wa Kikosi cha Polisi ya Somalia, moja kwa moja kupitia Benki Kuu ya Somalia. [Na AFP Photo/AU-UN IST Photo/Stuart Price]
Waziri wa Fedha na Mipango Mohamud Hassan Suleiman aliiambia Sabahi kuwa programu hiyo ni moja miongoni mwa mipango kadhaa yenye lengo la kuufanya mfumo wa fedha nchini kuwa wa kisasa, kutoa uwiano wa bajeti na kuzuia ufisadi wa kitawala na kifedha.
Waajiriwa wa serikali kwa sasa wanalipwa fedha taslimu na wahasibu waliopangiwa katika wizara zao husika baada ya fedha kulipwa na Benki Kuu. Wahasibu ndio wenye dhamana ya kukusanya fedah na kumlipa kila mwajiriwa baada ya kutia saini risiti ya karatasi kama njia ya uthibitisho.
Mchakato huu, ambao unahusisha kutoa na kusafirisha kiwango kikubwa cha fedha na kujaza fomu za karatasi, mara nyingi hupelekea kuchelewa kwa mishahara na kupotea kwa fedha, Suleiman alisema.
Waziri alisema kuwa mfumo huo mpya utazuia kuchelewa huko na kupelekea uwajibikaji mzuri zaidi na uwazi katika udhibiti wa fedha za umma.
Kukiwa na mfumo wa malipo ambao ni automatiki, kila mwajiriwa wa umma atapewa akaunti yake binafsi katika Benki Kuu ambako mishahara yao itakuwa inawekwa kwenye akaunti hizo na kupatikana kwa kutumia kadi ya beki mwanzoni mwa kila mwezi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.