Skip to main content

SAMATTA: NITAIFANYIA MAKUBWA TAIFA STARS


MSHAMBULIAJI Mbwana Samatta anayecheza soka ya kulipwa katika klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, amesema amepanga kuifanyia mambo makubwa timu ya taifa, Taifa Stars.

Samatta alisema hayo mjini Dar es Salaam juzi, muda mfupi kabla ya Taifa Stars kwenda Ethiopia kwa ziara ya mechi moja ya kirafiki.

Mshambuliaji huyo, ambaye amekuwa akishutumiwa kwa kucheza chini ya kiwango anapoichezea Taifa Stars, alisema si kweli kwamba hana uzalendo kwa timu yake ya taifa.

"Habari hizi zinanikera sana. Hivi mimi ningejulikana vipi na TP Mazembe kama sio Taifa Stars na Simba? Wangeniona wapi? Mimi nitaendelea kuichezea timu yangu ya Taifa kwa mapenzi yote ili niwazibe midomo wabaya wangu,"alisema mchezaji huyo.

Alisema yupo tayari kuichezea Taifa Stars wakati wowote atakapoitwa na Kocha Kim Poulsen kwa sababu moja ya sifa za mwanasoka wa kimataifa ni kufanya vizuri katika timu yake ya taifa.

Samatta alisema moja ya ndoto zake ni kuifungia Taifa Stars mabao mengi katika michuano ya kimataifa na pia kuiwezesha kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2014 zitakazofanyika nchini Brazil.

Mshambuliaji huyo wa zamani wa klabu za African Lyon na Simba alisema, kwa sasa yupo fiti baada ya kupona na kusisitiza kuwa, ataanza kuonyesha makali yake leo katika pambano kati ya Taifa Stars na Ethiopia litakalofanyika mjini Addis Ababa.

"Kwa kweli najisikia faraja kubwa leo hii kusafiri na wachezaji wenzangu wa nchi yangu,nina imani mwaka huu nitafanya mengi makubwa, ikiwa ni pamoja na kufunga mabao kwa kushirikiana na wenzangu. Na hilo nitalifanya hata kwa klabu yangu ya TP Mazembe,"alisema nyota huyo.

Samatta alikiri kuwa, kwa sasa anakabiliwa na kibarua kizito cha kupata namba ya kudumu kwenye klabu yake ya TP Mazembe kutokana na kuwepo kwa wachezaji wengi nyota kutoka katika nchi mbalimbali.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...