Skip to main content

SAMATTA: NITAIFANYIA MAKUBWA TAIFA STARS


MSHAMBULIAJI Mbwana Samatta anayecheza soka ya kulipwa katika klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, amesema amepanga kuifanyia mambo makubwa timu ya taifa, Taifa Stars.

Samatta alisema hayo mjini Dar es Salaam juzi, muda mfupi kabla ya Taifa Stars kwenda Ethiopia kwa ziara ya mechi moja ya kirafiki.

Mshambuliaji huyo, ambaye amekuwa akishutumiwa kwa kucheza chini ya kiwango anapoichezea Taifa Stars, alisema si kweli kwamba hana uzalendo kwa timu yake ya taifa.

"Habari hizi zinanikera sana. Hivi mimi ningejulikana vipi na TP Mazembe kama sio Taifa Stars na Simba? Wangeniona wapi? Mimi nitaendelea kuichezea timu yangu ya Taifa kwa mapenzi yote ili niwazibe midomo wabaya wangu,"alisema mchezaji huyo.

Alisema yupo tayari kuichezea Taifa Stars wakati wowote atakapoitwa na Kocha Kim Poulsen kwa sababu moja ya sifa za mwanasoka wa kimataifa ni kufanya vizuri katika timu yake ya taifa.

Samatta alisema moja ya ndoto zake ni kuifungia Taifa Stars mabao mengi katika michuano ya kimataifa na pia kuiwezesha kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2014 zitakazofanyika nchini Brazil.

Mshambuliaji huyo wa zamani wa klabu za African Lyon na Simba alisema, kwa sasa yupo fiti baada ya kupona na kusisitiza kuwa, ataanza kuonyesha makali yake leo katika pambano kati ya Taifa Stars na Ethiopia litakalofanyika mjini Addis Ababa.

"Kwa kweli najisikia faraja kubwa leo hii kusafiri na wachezaji wenzangu wa nchi yangu,nina imani mwaka huu nitafanya mengi makubwa, ikiwa ni pamoja na kufunga mabao kwa kushirikiana na wenzangu. Na hilo nitalifanya hata kwa klabu yangu ya TP Mazembe,"alisema nyota huyo.

Samatta alikiri kuwa, kwa sasa anakabiliwa na kibarua kizito cha kupata namba ya kudumu kwenye klabu yake ya TP Mazembe kutokana na kuwepo kwa wachezaji wengi nyota kutoka katika nchi mbalimbali.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...