Skip to main content

BAFANA BAFANA WAINGIA ROBO FAINALI





DURBAN, Afrika Kusini

WENYEJI Afrika Kusini, maarufu kwa jina la Bafana Bafana, juzi walifuzu kucheza robo fainali ya michuano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 na Morocco.

Sare hiyo iliiwezesha Bafana Bafana kutwaa uongozi wa kundi A ikiwa na pointi tano baada ya kucheza mechi tatu, sawa na Cape Verde, lakini zinatofautiana kwa mabao ya kufunga na kufungwa.

Morocco, ambayo ilitakiwa kushinda pambano hilo ili isonge mbele, iliweza kuwa mbele kwa mabao mara mbili, lakini mara zote Bafana Bafana ilisawazisha.

Issam El Adoua aliifungia Morocco bao la kuongoza dakika ya 10 baada ya kioa Itumeleleng Khune wa Bafana Bafana kuokoa vibaya mpira wa kona, ukamkuta mfungaji aliyeunganisha wavuni. Bao hilo lilidumu hadi mapumziko.

May Mahlangu aliisawazishia Bafana Bafana dakika ya 71 na kuamsha shamra shamra kutoka kwa mashabiki wa timu hiyo.

Mehdi Namli aliiongezea Morocco bao la pili dakika ya 81 kabla ya Siyabonga Sangweni kuisawazishia Bafana Bafana dakika ya 87 na kuufanya uwanja ulipuke kwa mayowe ya kushangilia.

Hii ni mara ya kwanza kwa Bafana Bafana kufuzu kucheza hatua hiyo tangu mwaka 2002 na itabaki mjini Durban kumsubiri mshindi wa pili wa kundi B.

Kutokana na sare hiyo, Morocco imeungana na Angola kufungasha virago kutoka katika kundi hilo, ikiwa ni mara yake ya pili mfululizo kuishia hatua hiyo katika fainali za kombe hilo.

Akizungumza baada ya mchezo huo, Kocha Gordon Igesund wa Bafana Bafana alisema wanaona fahari kutimiza lengo lao la kwanza la kufuzu kucheza hatua ya mtoano.

"Morocco ilikuwa timu ngumu. Sitaki kutaja makosa, lakini tuliweza kusawazisha mabao mawili. Sasa imesalia michezo miwili kufuzu kucheza fainali na nina imani na wachezaji wangu,"alisema.

Kocha Rachid Taoussi wa Morocco alisema amekatishwa tamaa na matokeo hayo, lakini wachezaji wake walipambana kadri ya uwezo wao.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...