Skip to main content

BAFANA BAFANA WAINGIA ROBO FAINALI





DURBAN, Afrika Kusini

WENYEJI Afrika Kusini, maarufu kwa jina la Bafana Bafana, juzi walifuzu kucheza robo fainali ya michuano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 na Morocco.

Sare hiyo iliiwezesha Bafana Bafana kutwaa uongozi wa kundi A ikiwa na pointi tano baada ya kucheza mechi tatu, sawa na Cape Verde, lakini zinatofautiana kwa mabao ya kufunga na kufungwa.

Morocco, ambayo ilitakiwa kushinda pambano hilo ili isonge mbele, iliweza kuwa mbele kwa mabao mara mbili, lakini mara zote Bafana Bafana ilisawazisha.

Issam El Adoua aliifungia Morocco bao la kuongoza dakika ya 10 baada ya kioa Itumeleleng Khune wa Bafana Bafana kuokoa vibaya mpira wa kona, ukamkuta mfungaji aliyeunganisha wavuni. Bao hilo lilidumu hadi mapumziko.

May Mahlangu aliisawazishia Bafana Bafana dakika ya 71 na kuamsha shamra shamra kutoka kwa mashabiki wa timu hiyo.

Mehdi Namli aliiongezea Morocco bao la pili dakika ya 81 kabla ya Siyabonga Sangweni kuisawazishia Bafana Bafana dakika ya 87 na kuufanya uwanja ulipuke kwa mayowe ya kushangilia.

Hii ni mara ya kwanza kwa Bafana Bafana kufuzu kucheza hatua hiyo tangu mwaka 2002 na itabaki mjini Durban kumsubiri mshindi wa pili wa kundi B.

Kutokana na sare hiyo, Morocco imeungana na Angola kufungasha virago kutoka katika kundi hilo, ikiwa ni mara yake ya pili mfululizo kuishia hatua hiyo katika fainali za kombe hilo.

Akizungumza baada ya mchezo huo, Kocha Gordon Igesund wa Bafana Bafana alisema wanaona fahari kutimiza lengo lao la kwanza la kufuzu kucheza hatua ya mtoano.

"Morocco ilikuwa timu ngumu. Sitaki kutaja makosa, lakini tuliweza kusawazisha mabao mawili. Sasa imesalia michezo miwili kufuzu kucheza fainali na nina imani na wachezaji wangu,"alisema.

Kocha Rachid Taoussi wa Morocco alisema amekatishwa tamaa na matokeo hayo, lakini wachezaji wake walipambana kadri ya uwezo wao.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.