Skip to main content

Kuongezeka kwa uingiaji kwenye intaneti kunatoa kazi, kuimarisha elimu


Na Rajab Ramah, Nairobi
Unganishwaji wa intaneti ulioboreshwa nchini Kenya unaongeza ukuaji wa uchumi, kupatikana kwa kazi na kuongeza upataji wa elimu, maofisa wahusika wa tasnia hiyo wamesema.
 
Mem Maina akionyesha matumizi ya simu mpya wakati wa maonyesho ya teknolojia ya Afrika ya DEMO kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta jijini Nairobi tarehe 25 Oktoba. Utafiti wa hivi karibuni ulionyesha kwamba simu za mkononi zinaweza kusaidia kuondoa pengo linalotenganisha la dijitali na kutoa ufikivu wa intaneti kwa Wakenya wengi zaidi. [Simon Maina/AFP]
Huduma za mtandao zinazopatikana kwenye kompyuta na simu za mkononi zimepunguza gharama za muamala katika sekta mbalimbali na kusaidia kufanya maisha ya raia kuwa rahisi, kwa mujibu wa mwenyekiti wa Chama cha Walaji cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) Alex Gakuru.
"Wananchi wanaweza kupakua na kujaza nyaraka muhimu kama vile ripoti ya polisi kwa kubofya kipanya," aliiambia Sabahi. "Wanaweza kulipa bili kwa kutumia simu zao za mkononi na wanaweza kuomba kazi kupitia mtandao. Hii inamaanisha kwamba inapunguza kusafiri na matumizi."
Kwa mujibu wa ripoti ya Tume ya Mawasiliano ya Kenya ya 2011-2012 iliyotolewa Oktoba, matumizi ya intaneti kupitia kompyuta za kawaida yamekua kwa watumiaji milioni kwa silimia 19.2 hadi 7.7, wakati matumizi ya inteneti kwa njia ya simu za mkononi yamekua kwa watumiaji milioni kwa asilimia 1.7 hadi 29.7.
Ingawaje gharama kubwa za ufikiaji zimeendelea kuwepo, Gakuru alisema, kuogezeka kwa uingiaji kwenye intaneti umeboresha biashara, mawasiliano na mandhari ya elimu nchini Kenya.
Uunganishwaji mzuri umetafsiriwa kwenye gharama ndogo za matangazo kwa ajili ya biashara, kwani sasa wanaweza kufikia watu wengi kupitia mtandao. Kuwasiliana na wateja kupitia mtandao, ambao wanatoa mwitikio kwa wamiliki wa biashara, husaidia malengo ya kampuni na kukidhi vizuri matakwa ya wateja, Gakuru alisema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.