Skip to main content

Kuongezeka kwa uingiaji kwenye intaneti kunatoa kazi, kuimarisha elimu


Na Rajab Ramah, Nairobi
Unganishwaji wa intaneti ulioboreshwa nchini Kenya unaongeza ukuaji wa uchumi, kupatikana kwa kazi na kuongeza upataji wa elimu, maofisa wahusika wa tasnia hiyo wamesema.
 
Mem Maina akionyesha matumizi ya simu mpya wakati wa maonyesho ya teknolojia ya Afrika ya DEMO kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta jijini Nairobi tarehe 25 Oktoba. Utafiti wa hivi karibuni ulionyesha kwamba simu za mkononi zinaweza kusaidia kuondoa pengo linalotenganisha la dijitali na kutoa ufikivu wa intaneti kwa Wakenya wengi zaidi. [Simon Maina/AFP]
Huduma za mtandao zinazopatikana kwenye kompyuta na simu za mkononi zimepunguza gharama za muamala katika sekta mbalimbali na kusaidia kufanya maisha ya raia kuwa rahisi, kwa mujibu wa mwenyekiti wa Chama cha Walaji cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) Alex Gakuru.
"Wananchi wanaweza kupakua na kujaza nyaraka muhimu kama vile ripoti ya polisi kwa kubofya kipanya," aliiambia Sabahi. "Wanaweza kulipa bili kwa kutumia simu zao za mkononi na wanaweza kuomba kazi kupitia mtandao. Hii inamaanisha kwamba inapunguza kusafiri na matumizi."
Kwa mujibu wa ripoti ya Tume ya Mawasiliano ya Kenya ya 2011-2012 iliyotolewa Oktoba, matumizi ya intaneti kupitia kompyuta za kawaida yamekua kwa watumiaji milioni kwa silimia 19.2 hadi 7.7, wakati matumizi ya inteneti kwa njia ya simu za mkononi yamekua kwa watumiaji milioni kwa asilimia 1.7 hadi 29.7.
Ingawaje gharama kubwa za ufikiaji zimeendelea kuwepo, Gakuru alisema, kuogezeka kwa uingiaji kwenye intaneti umeboresha biashara, mawasiliano na mandhari ya elimu nchini Kenya.
Uunganishwaji mzuri umetafsiriwa kwenye gharama ndogo za matangazo kwa ajili ya biashara, kwani sasa wanaweza kufikia watu wengi kupitia mtandao. Kuwasiliana na wateja kupitia mtandao, ambao wanatoa mwitikio kwa wamiliki wa biashara, husaidia malengo ya kampuni na kukidhi vizuri matakwa ya wateja, Gakuru alisema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...