Skip to main content

Al-Shabaab yaongeza wito ya kuomba michango


Na Majid Ahmed, Mogadishu
Viongozi wa al-Shabaab wamefichua hali mbaya kifedha ya kikundi chao baada ya kufanya mfululizo wa maombi katika miezi kadhaa iliyopita kwa makabila ya Somalia na wafanya biashara ili watoe msaada wa kifedha kwa shughuli zao za kigaidi, kwa mujibu wa wachambuzi na waangalizi wa masuala ya kisiasa wa Somalia.
Askari wa Jeshi la Taifa la Somalia na mwanachama wa Brigedi ya Ras Kamboni inayoiunga mkono serikali wakiangalia juu ya gati ilioko katika mji wa bandari wa Kismayu, ngome imara ya zamani ya al-Shabaab. [Na AU-UN IST/AFP]
Katika ujumbe wa sauti uliotolewa mwezi wa Disemba na al-Kataib Media Foundation, tawi la habari la al-Shabaab, kiongozi wa al-Shabaab Ahmed Abdi Godane, anayejulikana pia kama Mukhtar Abu al-Zubair, alikubali kadamnasi kuwa wapiganaji wa al-Shabaab walikuwa wameshindwa katika mfululizo wa vita dhidi ya vikosi vya Somalia na washirika wake. Katika ujumbe huo, aliwataka watu wa Somalia kusimama imara na kukisaidia kikundi chao kifedha.
"Ninapenda kuwaambia Waislamu wa Somalia kusimama imara kwa ndugu zenu waaminifu wa mujahidina na muwape fedha kwa vile wanapigana kuulinda Uislamu," alisema.
Ali Mohamed Hassan, mwakilishi wa zamani wa al-Shabaab huko mkoa wa Banadir, aliwataka wakaazi na wafanyabiashara wa Mogadishu hapo tarehe 25 Disemba watoe msaada wa kifedha kwa al-Shabaab ili iweze kugharamia operesheni zao za kijeshi. "Tunawataka wafanyabiashara wawasaidie mujahidina na watoe fedha zao kwa jina la Mwenyezi Mungu," alisema.
Hata katika ya miezi ya kabla ya Juni, kabla ya kikundi kuipoteza kimkakati Kismayu, Godane aliyataka makabila ya Somalia kuunga mkono kikundi cha wanamgambo dhidi ya serikali ya Somalia.

Chini ya wiki moja baadaye,Yusuf Sheikh Isse, kiongozi wa al-Shabaab katika mkoa wa Shabelle ya Kati, aliyatolea wito makabila na wafanyabiashara kufanya michango ya kifedha kwa ajili ya operesheni za kikundi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.