Skip to main content

Al-Shabaab yaongeza wito ya kuomba michango


Na Majid Ahmed, Mogadishu
Viongozi wa al-Shabaab wamefichua hali mbaya kifedha ya kikundi chao baada ya kufanya mfululizo wa maombi katika miezi kadhaa iliyopita kwa makabila ya Somalia na wafanya biashara ili watoe msaada wa kifedha kwa shughuli zao za kigaidi, kwa mujibu wa wachambuzi na waangalizi wa masuala ya kisiasa wa Somalia.
Askari wa Jeshi la Taifa la Somalia na mwanachama wa Brigedi ya Ras Kamboni inayoiunga mkono serikali wakiangalia juu ya gati ilioko katika mji wa bandari wa Kismayu, ngome imara ya zamani ya al-Shabaab. [Na AU-UN IST/AFP]
Katika ujumbe wa sauti uliotolewa mwezi wa Disemba na al-Kataib Media Foundation, tawi la habari la al-Shabaab, kiongozi wa al-Shabaab Ahmed Abdi Godane, anayejulikana pia kama Mukhtar Abu al-Zubair, alikubali kadamnasi kuwa wapiganaji wa al-Shabaab walikuwa wameshindwa katika mfululizo wa vita dhidi ya vikosi vya Somalia na washirika wake. Katika ujumbe huo, aliwataka watu wa Somalia kusimama imara na kukisaidia kikundi chao kifedha.
"Ninapenda kuwaambia Waislamu wa Somalia kusimama imara kwa ndugu zenu waaminifu wa mujahidina na muwape fedha kwa vile wanapigana kuulinda Uislamu," alisema.
Ali Mohamed Hassan, mwakilishi wa zamani wa al-Shabaab huko mkoa wa Banadir, aliwataka wakaazi na wafanyabiashara wa Mogadishu hapo tarehe 25 Disemba watoe msaada wa kifedha kwa al-Shabaab ili iweze kugharamia operesheni zao za kijeshi. "Tunawataka wafanyabiashara wawasaidie mujahidina na watoe fedha zao kwa jina la Mwenyezi Mungu," alisema.
Hata katika ya miezi ya kabla ya Juni, kabla ya kikundi kuipoteza kimkakati Kismayu, Godane aliyataka makabila ya Somalia kuunga mkono kikundi cha wanamgambo dhidi ya serikali ya Somalia.

Chini ya wiki moja baadaye,Yusuf Sheikh Isse, kiongozi wa al-Shabaab katika mkoa wa Shabelle ya Kati, aliyatolea wito makabila na wafanyabiashara kufanya michango ya kifedha kwa ajili ya operesheni za kikundi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...