Skip to main content

Al-Shabaab yaongeza wito ya kuomba michango


Na Majid Ahmed, Mogadishu
Viongozi wa al-Shabaab wamefichua hali mbaya kifedha ya kikundi chao baada ya kufanya mfululizo wa maombi katika miezi kadhaa iliyopita kwa makabila ya Somalia na wafanya biashara ili watoe msaada wa kifedha kwa shughuli zao za kigaidi, kwa mujibu wa wachambuzi na waangalizi wa masuala ya kisiasa wa Somalia.
Askari wa Jeshi la Taifa la Somalia na mwanachama wa Brigedi ya Ras Kamboni inayoiunga mkono serikali wakiangalia juu ya gati ilioko katika mji wa bandari wa Kismayu, ngome imara ya zamani ya al-Shabaab. [Na AU-UN IST/AFP]
Katika ujumbe wa sauti uliotolewa mwezi wa Disemba na al-Kataib Media Foundation, tawi la habari la al-Shabaab, kiongozi wa al-Shabaab Ahmed Abdi Godane, anayejulikana pia kama Mukhtar Abu al-Zubair, alikubali kadamnasi kuwa wapiganaji wa al-Shabaab walikuwa wameshindwa katika mfululizo wa vita dhidi ya vikosi vya Somalia na washirika wake. Katika ujumbe huo, aliwataka watu wa Somalia kusimama imara na kukisaidia kikundi chao kifedha.
"Ninapenda kuwaambia Waislamu wa Somalia kusimama imara kwa ndugu zenu waaminifu wa mujahidina na muwape fedha kwa vile wanapigana kuulinda Uislamu," alisema.
Ali Mohamed Hassan, mwakilishi wa zamani wa al-Shabaab huko mkoa wa Banadir, aliwataka wakaazi na wafanyabiashara wa Mogadishu hapo tarehe 25 Disemba watoe msaada wa kifedha kwa al-Shabaab ili iweze kugharamia operesheni zao za kijeshi. "Tunawataka wafanyabiashara wawasaidie mujahidina na watoe fedha zao kwa jina la Mwenyezi Mungu," alisema.
Hata katika ya miezi ya kabla ya Juni, kabla ya kikundi kuipoteza kimkakati Kismayu, Godane aliyataka makabila ya Somalia kuunga mkono kikundi cha wanamgambo dhidi ya serikali ya Somalia.

Chini ya wiki moja baadaye,Yusuf Sheikh Isse, kiongozi wa al-Shabaab katika mkoa wa Shabelle ya Kati, aliyatolea wito makabila na wafanyabiashara kufanya michango ya kifedha kwa ajili ya operesheni za kikundi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...