Skip to main content

KIMBEMBE JANA SIMBA, AZAM, COASTAL UNION ZAUA



MABINGWA watetezi Simba leo wameuanza vyema mzunguko wa pili wa ligi kuu ya soka ya Tanzania Bara baada ya kuichapa African Lyon mabao 3-1 katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Katika pambano hilo, Simba ingeweza kutoka uwanjani na ushindi mkubwa wa mabao iwapo mshambuliaji wake, Mrisho Ngasa angekuwa makini kila alipolifikia lango la African Lyon.

Ngasa pia alipoteza penalti katika kipindi cha pili baada ya shuti lake kumlenga kipa Abdul Seif. Hadi mapumziko, Simba ilikuwa mbele kwa mabao 3-0.

Mabao ya Simba katika kipindi hicho cha kwanza yalifungwa na Mrisho Ngasa, aliyefunga mawili na Ramadhani Chombo 'Redondo'.

Redondo, aliyerejea Simba akitokea Azam, alifunga bao la kwanza dakika ya tatu baada ya kuunganisha wavuni mpira wa krosi uliopigwa na Ngasa kutoka pembeni ya uwanja na kuamsha shangwe kutoka kwa mashabiki wa Simba.

Bao la pili lilifungwa na Ngasa baada ya gonga safi kati yake na Mwinyi Kazimoto kabla ya kufumua shuti lililompita kipa Seif wa African Lyon.

Lyon ingeweza kupunguza tofauti ya mabao dakika ya 31 wakati ilipopata adhabu ya penalti baada ya beki Paul Ngelema wa Simba kumwangusha Fred Lewis ndani ya eneo la hatari. Hata hivyo, shuti la kwanza la Shamte Ally liliokolewa na kipa Juma Kaseja wa Simba, lakini mwamuzi Israel Mujuni aliamuru penalti hiyo irudiwe. Na iliporudiwa, shuti la Shamte lilitoka pembeni ya lango.

Ngasa aliifungia Simba bao la tatu baada ya kazi nzuri iliyofanywa na Haruna Chanongo, aliyepandishwa kutoka kikosi cha pili, ambaye alionyesha kila dalili za kuweza kuziba vyema pengo la Emmanuel Okwi, aliyeuzwa kwa klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia.

Lyon ilibadili sura ya mchezo katika kipindi cha pili, ambapo ilicheza gonga safi na kutoa usumbufu mkubwa kwa mabeki na viungo wa Simba, ambao walikuwa wakiutafuta mpira kwa toshi.

Mashambulizi hayo ya Lyon yalizaa matunda dakika ya 59 baada ya kupata bao la kujifariki kupitia kwa Bright Ike baada ya kupokea pasi kutoka kwa Fred.

Katika mechi zingine za ligi hiyo zilizochezwa leo, Mtibwa Sugar ilichapwa bao 1-0 na ndugu zao wa Polisi kwenye uwanja wa Manungu. Bao pekee na la ushindi la Polisi lilifungwa na Muzamil Saidi.

Katika mechi zingine, Coastal Union iliwacharaza ndugu zao wa Mgambo JKT mabao 3-1, Ruvu Shooting waliwalaza ndugu zao wa JKT Ruvu bao 1-0, Azam iliinyuka Kagera Sugar mabao 3-1 wakati JKT Oljoro iliibamiza Toto Africans mabao 3-1.

Ligi hiyo inatarajiwa kuendelea tena leo wakati Yanga itakapomenyana na Prisons kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...