Skip to main content

HII NDIYO CAPE VERDE




PORT ELIZABETH, Afrika Kusini

HUWEZI kuamini, lakini ndivyo ilivyokuwa. Cape Verde juzi ilionyesha maajabu baada ya kuichapa Angola mabao 2-1 na kufuzu kucheza robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika.

Katika mechi hiyo ya kundi A iliyochezwa mjini hapa, Angola ilikuwa ikihitaji ushindi ili iweze kufuzu kucheza hatua hiyo na ilikuwa ya kwanza kupata bao.

Mlinzi Neves wa Cape Verde ndiye aliyeizawadia bao Angola dakika ya 33 baada ya kujifunga wakati akiwa kwenye harakati za kuokoa mpira wa hatari uliopigwa kwenye lango la timu yake. Bao hilo lilidumu hadi mapumziko.

Cape Verde ilisawazisha dakika tisa kabla ya mchezo kumalizika kwa bao lililofungwa na beki, Fernando Varela kwa shuti la umbali wa mita zipatazo 17.

Wakati mashabiki wakiamini kuwa pambano hilo lingemalizika kwa sare, Heldon aliifungia Cape Verde bao la pili na la ushindi na kuwafanya wachezaji na viongozi wa timu hiyo wapagawe kwa ushindi.

Angola ililianza pambano hilo kwa kasi, kuliko ilivyokuwa katika mechi zake mbili za awali wakati Cape Verde ilifanya mashambulizi ya kushtukiza.

Cape Verde ilipata nafasi mbili nzuri za kufunga mabao katika kipindi cha kwanza, lakini zilipotezwa na Platini na Ryan Mendes.

Mshambuliaji Manucho alikuwa mwiba mkali kwa mabeki wa Cape Verde, ambao walilazimika kumwekea ulinzi mkali ili asilete madhara kwenye lango lao.

Kocha Luis Antunes wa Cape Verde alisema baada ya mchezo huo kuwa, wanawazawadia ushindi huo wananchi wa visiwa vya Cape Verde.

"Lengo letu katika michuano hii limetimia. Tulitaka kufuzu kucheza robo fainali,"alisema.

Kocha Gustavo Ferrin alisema walilazimika kucheza kwa kushambulia kwa lengo la kuongeza mabao na kusahau kujilinda.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.