Skip to main content

UWOYA AIBUA JAMBO


Na Richard Bukos
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Irene Pancras Uwoya amezua jambo baada ya mume wa mtu, mkazi wa Kata ya Kwadelo wilayani Kondoa, Dodoma ambaye jina lake halikupatikana, kushindwa kuficha hisia zake za kimahaba na kuonesha waziwazi kumzimikia staa huyo.Tukio hilo lilishuhudiwa na mwanahabari wetu hivi karibuni ambapo Uwoya alikutana na mwanaume huyo kijijini Kwadelo alipokwenda na wasanii wenzake, Jacob Steven ‘JB’ Wema Sepetu, Single Mtambalike ‘Richie’ na Vincent Kigosi ‘Ray’ kuzindua mradi wa Kilimo Kwanza Ajira kwa Vijana kwa mwaliko wa diwani wa kata hiyo, Omary Kariati.
Baada ya kupata nafasi ya kumuona Uwoya uso kwa uso katika maisha yake, mwanaume huyo alifanya jitihada za hali ya juu kujipenyeza katikati ya wanakijiji wenzake na kwenda kuweka pozi na staa huyo kisha kupiga naye picha huku akimkagua kuanzia ukucha hadi unywele.Kama hiyo haitoshi, baada ya kugundua kuwa Uwoya ni mtu wa kawaida tofauti na alivyomfikiria, alianza kumchezea nywele zake kimahaba huku akitamani kuambatana naye kila alipokuwa  akielekea kijijini hapo.
Kwa mujibu wa wanakijiji wenzake, jamaa huyo alikuwa akitamba kuwa alimtaka Uwoya awe mkewe wa pili lakini aliishia kucheka tu bila kumkubalia wala kumkatalia kwa kuwa alimchukulia kama shabiki wake wa kawaida tu.
Katika tukio hilo, mbali na kuzindua Kilimo Kwanza, wasanii hao na Diwani Kariati, pia waliwakabidhi wanakijiji hao Sh. laki tano zilizotolewa kama pole na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Benard Membe kufuatia kijiji hicho kukumbwa na maafa ya mafuriko hivi karibuni.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.