Skip to main content

Majeshi ya Ufaransa na Mali yaendelea na doria katika Mji wa Timbuktu


Majeshi ya Ufaransa na Mali yanaendelea kufanya doria katika Mji uliojaaliwa misitu mingi wa Timbuktu baada ya kupata mapokezi ya kishujaa kutoka kwa wakazi wake baada ya Makundi ya Kiislam ambayo yalikuwa yameweka makazi yao kwa kipindi cha miezi tisa kuondoka.
Msikiti uliopo katika Mji wa Timbuktu, Mali eneo ambalo limechukuliwa na Majeshi ya Ufaransa na Mali
Doria hii ni harakati za kufanya uchunguzi kama Wapiganaji wa Makundi ya Kiislam wameendelea kujihifadhi katika maeneo mbalimbali kwenye Mji wa Timbuktu baada ya kuingia kwenye eneo hilo bila ya kukabiliwa na upinzani wa aina yoyote.
Wananchi wa Mji wa Timbuktu wameonesha furaha yao pindi tu majeshi ya Ufaransa na yale ya Mali yalipofanikiwa kuingia katika Mji huo ikiwa ni ishara ya kuurejesha tena kwenye mikono ya serikali baada ya kuanguka kwa wapiganaji hao.
Wakazi wa timbuktu wamewapokea wanajeshi wa Ufaransa na Mali kama mashujaa huku wakiimba “Mali, Mali, Mali” na kupeperusha bendera za mataifa hayo mawili ambayo yamekuwa mstari wa mbele kuyatokomeza makundi hayo ya Kiislam.
Rais wa Ufaransa Francois Hollande amekiri hatua ya kuuchukua Mji wa Timbuktu ni hatua kubwa katika mapambano yao ya kigaidi ambayo wameyaanzisha katika eneo la Kaskazini mwa Bara la Afrika.
Hollande amesisitiza wana wakati mgumu katika mapambano hayo dhidi ya ugaidi kutokana na vitendo hivyo kukita mizizi katika eneo la Kaskazini mwa Bara la Afrika lakini wamekuwa na mwanzo mzuri.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...