Skip to main content

Kuongezeka kwa uingiaji kwenye intaneti nchini Kenya kunatoa kazi, kuimarisha elimu


Na Rajab Ramah, Nairobi
Unganishwaji wa intaneti ulioboreshwa nchini Kenya unaongeza ukuaji wa uchumi, kupatikana kwa kazi na kuongeza upataji wa elimu, maofisa wahusika wa tasnia hiyo wamesema.
Mem Maina akionyesha matumizi ya simu mpya wakati wa maonyesho ya teknolojia ya Afrika ya DEMO kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta jijini Nairobi tarehe 25 Oktoba. Utafiti wa hivi karibuni ulionyesha kwamba simu za mkononi zinaweza kusaidia kuondoa pengo linalotenganisha la dijitali na kutoa ufikivu wa intaneti kwa Wakenya wengi zaidi. [Simon Maina/AFP]
Huduma za mtandao zinazopatikana kwenye kompyuta na simu za mkononi zimepunguza gharama za muamala katika sekta mbalimbali na kusaidia kufanya maisha ya raia kuwa rahisi, kwa mujibu wa mwenyekiti wa Chama cha Walaji cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) Alex Gakuru.
"Wananchi wanaweza kupakua na kujaza nyaraka muhimu kama vile ripoti ya polisi kwa kubofya kipanya," aliiambia Sabahi. "Wanaweza kulipa bili kwa kutumia simu zao za mkononi na wanaweza kuomba kazi kupitia mtandao. Hii inamaanisha kwamba inapunguza kusafiri na matumizi."
Kwa mujibu wa ripoti ya Tume ya Mawasiliano ya Kenya ya 2011-2012 iliyotolewa Oktoba, matumizi ya intaneti kupitia kompyuta za kawaida yamekua kwa watumiaji milioni kwa silimia 19.2 hadi 7.7, wakati matumizi ya inteneti kwa njia ya simu za mkononi yamekua kwa watumiaji milioni kwa asilimia 1.7 hadi 29.7.
Ingawaje gharama kubwa za ufikiaji zimeendelea kuwepo, Gakuru alisema, kuogezeka kwa uingiaji kwenye intaneti umeboresha biashara, mawasiliano na mandhari ya elimu nchini Kenya.
Uunganishwaji mzuri umetafsiriwa kwenye gharama ndogo za matangazo kwa ajili ya biashara, kwani sasa wanaweza kufikia watu wengi kupitia mtandao. Kuwasiliana na wateja kupitia mtandao, ambao wanatoa mwitikio kwa wamiliki wa biashara, husaidia malengo ya kampuni na kukidhi vizuri matakwa ya wateja, Gakuru alisema.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...