Skip to main content

Al-Shabaab waondoka Bardhere wakati vikosi vya washirika vyakaribia


Na Adnan Hussein, Mogadishu
Wanamgambo wa al-Shabaab wanaondoka mfululizo huko Bardhere katika mkoa wa Gedo wakati mamia ya askari wa Somalia, wakisaidiwa na majshi ya Ethiopia, wakisonga mbele kuelekea mjini kudai udhibiti na kurejesha sheria na utaratibu.
Jeshi la Taifa la Somalia, kama linavyoonekana hapa likiwa Elasha Biyaha mwezi Novemba 2012, linatayarisha shambulio kubwa dhidi ya wanamgambo wa al-Shabaab katika mkoa wa Gedo. [Na Stuart Price/AU-UN IST/AFP]
Mkazi wa eneo hilo Farhan Mohamed Jama alisema aliiona misafara na magari ya kijeshi ya al-Shabaab yakiondoka kutoka Bardhere kwa muda wa usiku kadhaa, yakienda magharibi kuelekea Burdubo na Dinsor katika mkoa wa Bay.
"Kuna mazingira ya kutokuwepo na sheria mjini na al-Shabaab wametangaza hali ya tahadhari wakijitayarisha na mashambulizi dhidi ya kambi na ngome zake," Jama aliiambia Sabahi. "Katika baadhi ya mitaa na katikati, kuna mamia ya wanamgambo wa waasi ambao wameanza kupiga risasi nzito hewani usiku wa manane wiki hii iliyopita katika jaribio la kuwashitua wakazi na kuonyesha nguvu zao katika eneo hili."
Siku ya Alhamisi jioni (tarehe 3 Januari), al-Shabaab waliwakamata viongozi 13 wa dini na kuwashutumu kuwa wanakula njama za kuvikaribisha vikosi vinavyokaribia, Jama alisema.
Hawa Ahmed Kheyre, muuzaji wa maandazi mwenye umri wa miaka 30 katika soko la Bardhere, alisema kuwa al-Shabaab wamewaondosha baadhi ya wapiganaji wao kutoka mjini ili kujitayarisha kwa vita vya msituni na ulipuaji mabomu.
"Tunaishi katika nyakati za zahama kwa matokeo ya vitisho kutoka kwa watu wenye siasa kali ambao wamezagaa vijijini kote na milimani ya mkoa wa Gedo," alisema. "Tunasumbuliwa na mivutano, mauaji na mashitaka kutoka mikononi mwa wafuasi wa kikundi hiki ambao wamejipenyeza miongoni mwa watu wa eneo hili."
Diyad Abdi Kalil, afisa wa jeshi la Somalia huko Gedo, alisema kwa kweli vikosi vya Somalia vinapanga kuishambulia Bardhere na Burdubo, ambazo bado ziko katika udhibiti wa al-Shabaab, lakini hakusema lini.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.