Skip to main content

Al-Shabaab waondoka Bardhere wakati vikosi vya washirika vyakaribia


Na Adnan Hussein, Mogadishu
Wanamgambo wa al-Shabaab wanaondoka mfululizo huko Bardhere katika mkoa wa Gedo wakati mamia ya askari wa Somalia, wakisaidiwa na majshi ya Ethiopia, wakisonga mbele kuelekea mjini kudai udhibiti na kurejesha sheria na utaratibu.
Jeshi la Taifa la Somalia, kama linavyoonekana hapa likiwa Elasha Biyaha mwezi Novemba 2012, linatayarisha shambulio kubwa dhidi ya wanamgambo wa al-Shabaab katika mkoa wa Gedo. [Na Stuart Price/AU-UN IST/AFP]
Mkazi wa eneo hilo Farhan Mohamed Jama alisema aliiona misafara na magari ya kijeshi ya al-Shabaab yakiondoka kutoka Bardhere kwa muda wa usiku kadhaa, yakienda magharibi kuelekea Burdubo na Dinsor katika mkoa wa Bay.
"Kuna mazingira ya kutokuwepo na sheria mjini na al-Shabaab wametangaza hali ya tahadhari wakijitayarisha na mashambulizi dhidi ya kambi na ngome zake," Jama aliiambia Sabahi. "Katika baadhi ya mitaa na katikati, kuna mamia ya wanamgambo wa waasi ambao wameanza kupiga risasi nzito hewani usiku wa manane wiki hii iliyopita katika jaribio la kuwashitua wakazi na kuonyesha nguvu zao katika eneo hili."
Siku ya Alhamisi jioni (tarehe 3 Januari), al-Shabaab waliwakamata viongozi 13 wa dini na kuwashutumu kuwa wanakula njama za kuvikaribisha vikosi vinavyokaribia, Jama alisema.
Hawa Ahmed Kheyre, muuzaji wa maandazi mwenye umri wa miaka 30 katika soko la Bardhere, alisema kuwa al-Shabaab wamewaondosha baadhi ya wapiganaji wao kutoka mjini ili kujitayarisha kwa vita vya msituni na ulipuaji mabomu.
"Tunaishi katika nyakati za zahama kwa matokeo ya vitisho kutoka kwa watu wenye siasa kali ambao wamezagaa vijijini kote na milimani ya mkoa wa Gedo," alisema. "Tunasumbuliwa na mivutano, mauaji na mashitaka kutoka mikononi mwa wafuasi wa kikundi hiki ambao wamejipenyeza miongoni mwa watu wa eneo hili."
Diyad Abdi Kalil, afisa wa jeshi la Somalia huko Gedo, alisema kwa kweli vikosi vya Somalia vinapanga kuishambulia Bardhere na Burdubo, ambazo bado ziko katika udhibiti wa al-Shabaab, lakini hakusema lini.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...