Skip to main content

Vijana kutoka makazi duni za Kenya wanatumia shughuli za kijamii kupunguza misuguano ya kikabila


Na Rajab Ramah, Nairobi
Osewe Ramogi anaelezea polepole mazingira ya wazi aliyoyashuhudia wakati wa kilele cha vurugu za baada ya uchaguzi wa Kenya mwaka 2007, wakati vijana walizivamia makazi duni jijini na kuchoma moto majumba na kupora, na kuwafadhaisha wananchi waliowadhania kuwa hawakuwaunga mkono wagombea wao.
Mkenya na watoto wake wakitoroka makazi duni ya Mathare mjini Nairobi mwezi Januari 2008 ili kuepuka vurugu zilizolipuka baada ya uchaguzi. [Na Tony Karumba/AFP]
"Nimejaribu kuzifuta picha kutoka kumbukumbu zangu lakini zinakuwa zikijirejea akilini kila mara," alisema Ramogi, mwenye umri wa miaka 30 anayeishi katika makazi duni ya Kibera. "Waliwafukuza wale waliodhani kuwa kikabila ni tofauti na kamwe hawakumuunga mkono mgombea maalumu. Tuliachwa na maisha yaliyozorota na vifo baada ya vurugu hizo."
Ramogi, mwanachama wa Chini ya Anga Moja-Kenya, kikundi cha vijana wa makazi duni ya Kibera ambacho kinashughulikia mazingira ya eneo lao na matatizo ya mabadiliko ya hali ya hewa, alisema kuwa kwa miaka mingi wanasiasa wamekuwa wakijishughulisha na kampeni kwa umma za kuwachochea watu katika makazi duni kufanya fujo kwa faida zao wenyewe za kisiasa.
"Ukabila una umuhimu mkubwa katika siasa za Kenya tangu uhuru mwaka 1963, na inaelekea kuwa ukabila ndio msingi muhimu wa maamuzi ya kisiasa," alisema.
Lakini huku Kenya ikijitayarisha kwa uchaguzi mkuu wa tarehe 4 Machi, Ramogi alisema kuwa vijana kutoka makazi kadhaa duni ya Nairobi wanakutana ili kuhakikisha kuwa hakuna mtu anayetumiwa tena kama rehani wa kisiasa.
Hapo mwezi Januari 2012, Ramogi aliunda jukwaa la Mazungumzo na Maridhiano ya Amani Kwa Vijana wa Makabila Mbalimbali pamoja na idadi kadhaa ya vikundi vyengine vya vijana vinavyoshugulikia migawanyiko ya kikabila ambayo bado ilikuwa inaendelea katika makazi duni ya Kibera miaka kadhaa baada ya uchaguzi wa 2007.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...