Skip to main content

Vijana kutoka makazi duni za Kenya wanatumia shughuli za kijamii kupunguza misuguano ya kikabila


Na Rajab Ramah, Nairobi
Osewe Ramogi anaelezea polepole mazingira ya wazi aliyoyashuhudia wakati wa kilele cha vurugu za baada ya uchaguzi wa Kenya mwaka 2007, wakati vijana walizivamia makazi duni jijini na kuchoma moto majumba na kupora, na kuwafadhaisha wananchi waliowadhania kuwa hawakuwaunga mkono wagombea wao.
Mkenya na watoto wake wakitoroka makazi duni ya Mathare mjini Nairobi mwezi Januari 2008 ili kuepuka vurugu zilizolipuka baada ya uchaguzi. [Na Tony Karumba/AFP]
"Nimejaribu kuzifuta picha kutoka kumbukumbu zangu lakini zinakuwa zikijirejea akilini kila mara," alisema Ramogi, mwenye umri wa miaka 30 anayeishi katika makazi duni ya Kibera. "Waliwafukuza wale waliodhani kuwa kikabila ni tofauti na kamwe hawakumuunga mkono mgombea maalumu. Tuliachwa na maisha yaliyozorota na vifo baada ya vurugu hizo."
Ramogi, mwanachama wa Chini ya Anga Moja-Kenya, kikundi cha vijana wa makazi duni ya Kibera ambacho kinashughulikia mazingira ya eneo lao na matatizo ya mabadiliko ya hali ya hewa, alisema kuwa kwa miaka mingi wanasiasa wamekuwa wakijishughulisha na kampeni kwa umma za kuwachochea watu katika makazi duni kufanya fujo kwa faida zao wenyewe za kisiasa.
"Ukabila una umuhimu mkubwa katika siasa za Kenya tangu uhuru mwaka 1963, na inaelekea kuwa ukabila ndio msingi muhimu wa maamuzi ya kisiasa," alisema.
Lakini huku Kenya ikijitayarisha kwa uchaguzi mkuu wa tarehe 4 Machi, Ramogi alisema kuwa vijana kutoka makazi kadhaa duni ya Nairobi wanakutana ili kuhakikisha kuwa hakuna mtu anayetumiwa tena kama rehani wa kisiasa.
Hapo mwezi Januari 2012, Ramogi aliunda jukwaa la Mazungumzo na Maridhiano ya Amani Kwa Vijana wa Makabila Mbalimbali pamoja na idadi kadhaa ya vikundi vyengine vya vijana vinavyoshugulikia migawanyiko ya kikabila ambayo bado ilikuwa inaendelea katika makazi duni ya Kibera miaka kadhaa baada ya uchaguzi wa 2007.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...