Skip to main content

Vijana kutoka makazi duni za Kenya wanatumia shughuli za kijamii kupunguza misuguano ya kikabila


Na Rajab Ramah, Nairobi
Osewe Ramogi anaelezea polepole mazingira ya wazi aliyoyashuhudia wakati wa kilele cha vurugu za baada ya uchaguzi wa Kenya mwaka 2007, wakati vijana walizivamia makazi duni jijini na kuchoma moto majumba na kupora, na kuwafadhaisha wananchi waliowadhania kuwa hawakuwaunga mkono wagombea wao.
Mkenya na watoto wake wakitoroka makazi duni ya Mathare mjini Nairobi mwezi Januari 2008 ili kuepuka vurugu zilizolipuka baada ya uchaguzi. [Na Tony Karumba/AFP]
"Nimejaribu kuzifuta picha kutoka kumbukumbu zangu lakini zinakuwa zikijirejea akilini kila mara," alisema Ramogi, mwenye umri wa miaka 30 anayeishi katika makazi duni ya Kibera. "Waliwafukuza wale waliodhani kuwa kikabila ni tofauti na kamwe hawakumuunga mkono mgombea maalumu. Tuliachwa na maisha yaliyozorota na vifo baada ya vurugu hizo."
Ramogi, mwanachama wa Chini ya Anga Moja-Kenya, kikundi cha vijana wa makazi duni ya Kibera ambacho kinashughulikia mazingira ya eneo lao na matatizo ya mabadiliko ya hali ya hewa, alisema kuwa kwa miaka mingi wanasiasa wamekuwa wakijishughulisha na kampeni kwa umma za kuwachochea watu katika makazi duni kufanya fujo kwa faida zao wenyewe za kisiasa.
"Ukabila una umuhimu mkubwa katika siasa za Kenya tangu uhuru mwaka 1963, na inaelekea kuwa ukabila ndio msingi muhimu wa maamuzi ya kisiasa," alisema.
Lakini huku Kenya ikijitayarisha kwa uchaguzi mkuu wa tarehe 4 Machi, Ramogi alisema kuwa vijana kutoka makazi kadhaa duni ya Nairobi wanakutana ili kuhakikisha kuwa hakuna mtu anayetumiwa tena kama rehani wa kisiasa.
Hapo mwezi Januari 2012, Ramogi aliunda jukwaa la Mazungumzo na Maridhiano ya Amani Kwa Vijana wa Makabila Mbalimbali pamoja na idadi kadhaa ya vikundi vyengine vya vijana vinavyoshugulikia migawanyiko ya kikabila ambayo bado ilikuwa inaendelea katika makazi duni ya Kibera miaka kadhaa baada ya uchaguzi wa 2007.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.