Skip to main content

Vijana kutoka makazi duni za Kenya wanatumia shughuli za kijamii kupunguza misuguano ya kikabila


Na Rajab Ramah, Nairobi
Osewe Ramogi anaelezea polepole mazingira ya wazi aliyoyashuhudia wakati wa kilele cha vurugu za baada ya uchaguzi wa Kenya mwaka 2007, wakati vijana walizivamia makazi duni jijini na kuchoma moto majumba na kupora, na kuwafadhaisha wananchi waliowadhania kuwa hawakuwaunga mkono wagombea wao.
Mkenya na watoto wake wakitoroka makazi duni ya Mathare mjini Nairobi mwezi Januari 2008 ili kuepuka vurugu zilizolipuka baada ya uchaguzi. [Na Tony Karumba/AFP]
"Nimejaribu kuzifuta picha kutoka kumbukumbu zangu lakini zinakuwa zikijirejea akilini kila mara," alisema Ramogi, mwenye umri wa miaka 30 anayeishi katika makazi duni ya Kibera. "Waliwafukuza wale waliodhani kuwa kikabila ni tofauti na kamwe hawakumuunga mkono mgombea maalumu. Tuliachwa na maisha yaliyozorota na vifo baada ya vurugu hizo."
Ramogi, mwanachama wa Chini ya Anga Moja-Kenya, kikundi cha vijana wa makazi duni ya Kibera ambacho kinashughulikia mazingira ya eneo lao na matatizo ya mabadiliko ya hali ya hewa, alisema kuwa kwa miaka mingi wanasiasa wamekuwa wakijishughulisha na kampeni kwa umma za kuwachochea watu katika makazi duni kufanya fujo kwa faida zao wenyewe za kisiasa.
"Ukabila una umuhimu mkubwa katika siasa za Kenya tangu uhuru mwaka 1963, na inaelekea kuwa ukabila ndio msingi muhimu wa maamuzi ya kisiasa," alisema.
Lakini huku Kenya ikijitayarisha kwa uchaguzi mkuu wa tarehe 4 Machi, Ramogi alisema kuwa vijana kutoka makazi kadhaa duni ya Nairobi wanakutana ili kuhakikisha kuwa hakuna mtu anayetumiwa tena kama rehani wa kisiasa.
Hapo mwezi Januari 2012, Ramogi aliunda jukwaa la Mazungumzo na Maridhiano ya Amani Kwa Vijana wa Makabila Mbalimbali pamoja na idadi kadhaa ya vikundi vyengine vya vijana vinavyoshugulikia migawanyiko ya kikabila ambayo bado ilikuwa inaendelea katika makazi duni ya Kibera miaka kadhaa baada ya uchaguzi wa 2007.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...